Inawezekana kufurahi bila kutaniana na kusemana Kwa mizaha.Hapana, lakini tukumbuke walikuwa ni binadamu pia kwahiyo waliishi kama binadamu wengine,
Sitaki kuamini maisha yao yote yalijengwa kwenye uSerious muda wote, hata kama hawatanii wao basi walitaniwa na kufurahi maisha yakaendelea.
Quote utani au mzaha ikiwa upo ulete hapa.kasome wimbo ulio bora
Ni makosa makubwa.Sasa Hawa watumishi wanaoingiza utani na mizaha madhabahuni Wana lengo Gani?
Huo Si Mzaha. Ni realityMwanzo 32: 22-23
Jacob anamlamba mwereka 'Mungu' usiku mzima mpaka anaomba pooh!
Mungu anaomba kheri kwa sababu mwanga wa jua unataka kujitokeza!
Huu kama sio mzaha ni Nini?
Lakini hakupita na hajawahi kupita so this is a joke 🤣.Huo Si utani,
Nothing is impossible with God,
Lisilowezekana Kwa WANADAMU, Kwa Mungu kinawezekana.
Ngamia anaweza kupenya ktk TUNDU la sindano Mungu akitaka iwe Inakuja, kama ambavyo Bikra alichukua mimba na akazaa mwana.
NENO la Mungu limethibitishwa, limesheheni Kila kitu, halihitaji assist Kutoka popote.Naamini biblia haijaandika kila kitu
Hao wafanya utani wanae mungu waoSalaam,Shalom!!
Enyi Wana wa Mungu msomao BIBLIA, ni wapi umewahi kusoma simulizi yoyote yenye utani au mzaha?
Yaani ukakuta Mungu akimtania Nabii wake, au Nabii alifanya mzaha Kwa wafuasi wake?
Hii mizaha na utani wafanyayo watumishi wa Mungu wa Leo wakiwa madhabahuni wanaitoa wapi?
Wana wa Mungu mnapata wapi ujasiri wa kutaniana na kufanyiana mizaha, wapi mmejifunza haya, mmesoma andiko lipi?
Karibuni 🙏
Ngoja kwanza, kwani mzaha na utani ni nini?Inawezekana kufurahi bila kutaniana na kusemana Kwa mizaha.
Ndugu unamchukulia Mungu kama "babu" hivi!Huo Si Mzaha. Ni reality
Tembelea dictionary ndugu.Ngoja kwanza, kwani mzaha na utani ni nini?
Igizo na utani/ mzaha ni kitu kimoja?Una maanisha hawa au ?View attachment 3180714
Vipi kuhusu hiyo chupa ya wine?Igizo na utani/ mzaha ni kitu kimoja?
Vitoto viliruka Kwa furaha,Wanasema wangeandika vyote billiards isingetosha ila Maria na magdalena walivyokkutana wakiwa wajawazito vitoto vilicheka tumboni anyway sina uhakika
Kwani wapi wapi alisema anataka ngamia apite?Lakini hakupita na hajawahi kupita so this is a joke 🤣.
Inamahusiano Gani na mada husika?Vipi kuhusu hiyo chupa ya wine?
Binafsi mimi naona hiyo picha inauhusiano na utani unaouzungumzia!Inamahusiano Gani na mada husika?