Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
kuna mingine imedorora kama kama nyama iliyoanikwa juaniNyama ni kitu cha mshangazi kukosa jamanπππ
basi nimejipata ππPumzi ndio inayohitajika, maokoto sio shida
Sawa Mkuu ni uzoefu wangu tu. Hivi unafahamu kuwa wanawake wazuri wengi wao ni watulivu/wakimya/wapole mbele ya jamii?.Uongo napinga
not yet usikimbie πIβm done with youππ
Picha?Hzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
pumzi ipo shauri yako π πππππsina cha kusema naona unasumbua tu mashangazi na huna vigezo
Dah hujui basi vituSawa Mkuu ni uzoefu wangu tu. Hivi unafahamu kuwa wanawake wazuri wengi wao ni watulivu/wakimya/wapole mbele ya jamii?.
Wakati unanijibu uwe umetofautisha urembo na uzuri Mkuu
Sawa MkuuDah hujui basi vitu
Kwakweli[emoji847],, maana hapa nilipo nimebana mbavu zangu na mkanda zisije zikachomoka[emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu weka pichaHzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
ππππShem bhn mwambie kama maharage ya sumbawanga au lah ![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maake kwanza nichekeeeee
Sasa dada Maua ungeweka picha yako kusindikiza uzi ili wajue km hatupo hivyo
Na ulivyopauka πππAnayo mpiga picha [emoji4]
Nione kama hujapauka π€Ili iweje? Lione kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kati ya auntie na. Shangazi yupi akikulalia unakosa pumzi?Unataka kijana wangu akanyongwe maana anti akimlalia kijana anakosa pumzi
Hzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
Ni kweri Kabisa na Mwenyekiti Wenu ni FaizafoxyHzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
Jamani nyie watu πππππ€£π€£π€£π€£πNdio Wengi mmezeeka halafu wa hovyo sana!