Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Wacha maneno weka madorali
 
Hahahaha nimeshajua unataka kunifanyia utapeli[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]

Hahahah hupati kitu hapa weka dorali niweke picha
.
 
Wacha maneno weka madorali
Value for money pia inazingatiwa[emoji661][emoji661][emoji658][emoji658][emoji658][emoji676][emoji676][emoji676][emoji677][emoji677][emoji677][emoji662][emoji662][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652]
 
Value for money pia inazingatiwa[emoji661][emoji661][emoji658][emoji658][emoji658][emoji676][emoji676][emoji676][emoji677][emoji677][emoji677][emoji662][emoji662][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652]
Aisee ila leo sitaki kuamini unajitetea kiasi hikii
 
Aisee ila leo sitaki kuamini unajitetea kiasi hikii
From today ndiyo ujue, siko tena mji wa madafu come chugga ukaonje midola achana na dola za kalimanzila za zimbabwe..
 
Hahahaha nimeshajua unataka kunifanyia utapeli[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]

Hahahah hupati kitu hapa weka dorali niweke picha
.
Mimi siwezi kukutapeli kabisa mdogo wangu,
Maana unaweka kwenye PM ya Waziri wa Kaskazini siyo mimi,
Mimi kazi yangu ni kusimamia Charity Event ili kuzuia wewe usitapeliwe.
 
From today ndiyo ujue, siko tena mji wa madafu come chugga ukaonje midola achana na dola za kalimanzila za zimbabwe..
Hahahaha nitaachaje kwa mfano na ninazipenda haahahah
 
Mimi siwezi kukutapeli kabisa mdogo wangu,
Maana unaweka kwenye PM ya Waziri wa Kaskazini siyo mimi,
Mimi kazi yangu ni kusimamia Charity Event ili kuzuia wewe usitapeliwe.
Mbn mwenyewe kasema nitume account namba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…