Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Bank ndo kila kitu bhn hebu weka madorali hapo watu wapagaweee
Bank haiwezekani maana ni maπŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’²πŸ’²πŸ’²πŸ’²πŸ’²πŸ’² hasa. Usije kamatwa wakajua ni mtakatishaji.
 
Wapo na wanatoa ila wanaangalia wanampa nani.. unaweza sema wewe hukupewa ila mwenzio akapewa bila kuomba.
sasa kwahiyo avatar nasubiria nini " mpaka niombwe" natuma tu wallahi" hata kama ndio ilikuwa hela ya kununua nyama nyumbani " siku moja moja " watoto wakila matembele sio mbaya" nasikia huwa yanasaidia kuongeza damu
 
sasa kwahiyo avatar nasubiria nini " mpaka niombwe" natuma tu wallahi" hata kama ndio ilikuwa hela ya kununua nyama nyumbani " siku moja moja " watoto wakila matembele sio mbaya" nasikia huwa yanasaidia kuongeza damu
Hahahahahaaa.. kutuma hela kisa avatar kutakucost mkuu. Maana utakuja kuchek yule mwenye avatar na avatar ni vitu viwili tofauti
 
Kama upo na shida serious njoo uchukuwe 500k now Niko hapa Upanga!......NB:Be serious acha usichana!
 
Sitaki kuamini kuwa humu wanaume hamna madorali eti?
Hahahah mbona mimi najua kuna watu wanapesa na madorali lakini napata malalamiko kuwa hamna pesaa?

Hebu watokeee member wa5 wa kiume wanithibitishie muamala kwenye account yangu ya bank leooo niamini kweli Jf kuna matajiri wengi na hamna mbwembwe.

Najua wale wenye maneno mengi hata hawamiliki Account za Benki hata chapchap ya NMB hawana.

Leo tunapinga kwa vitendo siyo maneno jamani mimi siwezi kuwasifia mna madorali wakati hata sina uthibitisho wa muamala wa madorali.

Msipothibitisha basi wanaume wa Jf ni makapuku sitaki kuamini na nyie mnakubali hamna helaa aiseee hebu nikomesheni kwa kunitumia madorali ili watu wajue matajiri mapedesheee yapo Jf.



Najua matajiri wapo wengi Jf muwe na jumapili njema hakika msipothibitisha kuanzia leo wanaume wote wa Jf ni makapuku kasoro mganga wangu Jr.
Hii ni mbinu mbadala isiyokuwa na mawaa badala ya ile iliyozoeleka ya "ile pesa tuma katika namba hii" [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom