Eti ninyi waoaji, mnapotaka kuoa huwa mnazingatia kigezo kipi kati ya Uzuri, akili na kipato cha mwanamke?

Eti ninyi waoaji, mnapotaka kuoa huwa mnazingatia kigezo kipi kati ya Uzuri, akili na kipato cha mwanamke?

Dini ni moja ya sababu kubwa ya mwanamke kuolewa au kutokuolewa
 
Oa mwanamke aliyekupenda na anayekuvutia... yaani vitu hivyo (viende kwa pamoja)
 
Kuna maoni mseto katika kila kigezo.

Uzuri unaweza kutoweka kwa magonjwa ama ajali.

Akili inaweza isifanye kazi kutokana na mazingira na jiografia ya eneo anapoolewa.

Kipato chake kinaweza kutoweka kwasabb zozote zile.

Ikiwa kila kigezo kina shida zake, ni kipi basi mtu anapaswa kukizingatia ili kumpata mke sahihi??
Kuna mambo huwa mnakwepa sana kuyasema ambayo ni muhimu zaidi katika ndoa, tena ni kuliko hayo yote uliyoyaorodhesha hapo juu.

1. Mke ampende sana Mme.
2. Mme ampende sana mke
3. Kuzingatia kilicho kwenye 1 na 2

Ova
 
Kuna mambo huwa mnakwepa sana kuyasema ambayo ni muhimu zaidi katika ndoa, tena ni kuliko hayo yote uliyoyaorodhesha hapo juu.

1. Mke ampende sana Mme.
2. Mme ampende sana mke
3. Kuzingatia kilicho kwenye 1 na 2

Ova
Imeandikwa......mume amende mke lkn mke amtii mume. Kwahiyo mke hapaswi kupenda, anatakiwa kutii kama jeshini vile
 
Sifa za mke
--awe mzuri wa muonekano
--awe mtamu kitandani
--awe sio muhuni.

Mambo ya mwanamke sio sura wala sio utamu wake kitandani ndy hayo yanasababisha mwanaume kutafuta vimada huko nje.
 
Sifa za mke
--awe mzuri wa muonekano
--awe mtamu kitandani
--awe sio muhuni.

Mambo ya mwanamke sio sura wala sio utamu wake kitandani ndy hayo yanasababisha mwanaume kutafuta vimada huko nje.
Mwanamke yeyote ambaye ni mzuri na mtamu kitandani huwa ni nadra sana kukuta siyo mhuni. Maana kwa siku anatomgozwa na wanaume 10. Siku akimtunuku msela hiyo tamu yake, msela anakuwa mchepuko wa kudumu kwasabb ya utamu wake.

Oa hawa wenye k zenye UTI, unapoichakata unavaa mask ya pua kupunguza kero ya harufu. Halafu unakuwa unazima taa usizione sura na shepu zake mbaya
 
Mwanamke heshima
Muangaliage na mambo mengine.
Anaweza kuwa na heshima lkn mchafu. Unakuta nyumba imetapakaa vinyesi vya watoto sebule yote. Yeye mwenyewe mchafu mpk michirizi ya fungus imejichora makalioni.
 
Sifa za mke
--awe mzuri wa muonekano
--awe mtamu kitandani
--awe sio muhuni.

Mambo ya mwanamke sio sura wala sio utamu wake kitandani ndy hayo yanasababisha mwanaume kutafuta vimada huko nje.
Kama sio kukinai basi kuna kuvimbiwa.

Akili mtu wangu [emoji41]
 
Kuna mambo huwa mnakwepa sana kuyasema ambayo ni muhimu zaidi katika ndoa, tena ni kuliko hayo yote uliyoyaorodhesha hapo juu.

1. Mke ampende sana Mme.
2. Mme ampende sana mke
3. Kuzingatia kilicho kwenye 1 na 2

Ova
Mwanamke hakuumbwa kwa ajili ya kupenda bali kumtii mumewe..

(Enyi waume wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa lake, nanyi wanawake WATIINI waume wenu...)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo huwa mnakwepa sana kuyasema ambayo ni muhimu zaidi katika ndoa, tena ni kuliko hayo yote uliyoyaorodhesha hapo juu.

1. Mke ampende sana Mme.
2. Mme ampende sana mke
3. Kuzingatia kilicho kwenye 1 na 2

Ova
Sijui watu watajua lini hili?
Kuna siri kubwa katika kupendana kwa dhati, mengine yote yataongozwa na upendo kwa kuwa ni ya ziada.
 
Back
Top Bottom