Eti "Siye tunaingia Mpaka Ndani Kukagua Mahabusu/Magereza" - Mwenyezi Mungu anawaona Mawakili wa Serikali

Du! Kama wewe mwenyewe unakiri umetoka huko umewaacha sasa sijui ulistaafu au imekuwaje mpaka uko private! Sasa kwa maana hiyo ukipata kesi ukabishane nao utaiacha?
sijastaafu, hata miaka 40 sijafika. nimetoka kwasababu sipendi mshahara nilianzisha law firm yangu binafsi. upo hapo? nikipata kesi wengi ninao bishana nao tunajuana kwasababu nimefanya nao kazi, wengi wao nawajua ubora wao na udhaifu wao. na tunaheshimiana. tukiwa mahakamani ni vita tu muraa, ila tukitoka tunasalimiana kama ndugu.
 
Umeandika vizuri lakini ulivyomalizia sikubaliani nawe kabisa! Nina sababu nyingi sana sana ila sitaki kuji-expose kupita kiasi
 
Mawakili wa Serikali sometimes huacha liende tu, ni tofauti sana na unapomtetea mtu asiadhibiwe au asilipe tozo kubwa kwenye civil cases
 
Sijui utajificha wapi hiyo application ikipita!
 
Umeandika vizuri lakini ulivyomalizia sikubaliani nawe kabisa! Nina sababu nyingi sana sana ila sitaki kuji-expose kupita kiasi
nilipomalizia kwa application ya makonda? ukweli mchungu, siku nikisikia makonda ameshitakiwa na amekuwa convicted, nitachinja jogoo mkubwa nitamla. lakini alitakiwa ashitakiwe na mawakili wa serikali na sio private, kwasababu private prosecutor ana limited opportunity hata kukusanya nyaraka za ushahidi. pia, state attorneys wapo vizuri sana kweney criminal kwasababu hiyo ndio kazi yao hawana nyingine, kila siku wanadili na criiminal hivyo wangeprosecute vizuri sana.

nashauri mawakili wakitakaa kufanya kitu cha criminal, mchukue wakili wa serikali au wakili aliyewahi kupitia serikalini mpeleke hata baa tu akushauri, hata kisirisiri. kulika kujianika.
 
Unapotosha sana! Hata mawakili wa kujitegemea wana haki hiyo. Wanakutana na wateja wao na wanaongea sana tu. Hawa watu wanategemeana na ndiyo maana kwenye kesi za mauaji inapotokea mshtakiwa hana uwezo wa wakili, Serikali huteua wakili wa kujitegemea akamsimamie huyo mtu kwenye kesi husika. Unachofanya ni kutaka kuwapandisha chati tu hao watu wakati si hakimu wala wao wakipata keshi hutetewa na mawakili wa kujitegemea. USIPOTOSHE kwani ninaamini hata wewe ukipata kesi ya jinai inayokulipa Zaidi lazima utajitutumua ikibidi na kusoma kwa bidii ili ushinde ujijengee jina naupate mahela. USIPOTOSHE andika kilichopo moyoni tu!
 
Mawakili wa Serikali sometimes huacha liende tu, ni tofauti sana na unapomtetea mtu asiadhibiwe au asilipe tozo kubwa kwenye civil cases
inategemeana na aina ya kesi mzee, kama kesi ina maslahi au la. kuna baadhi ya kesi huwa wanapewa hata hela ili wasikaze, au wasikate rufaa, kuna mengi huko, tumetoka huko. ila kwenye kesi yenye maslahi ukiona wameamua kukukazia, utajuta.
 
inategemeana na aina ya kesi mzee, kama kesi ina maslahi au la. kuna baadhi ya kesi huwa wanapewa hata hela ili wasikaze, au wasikate rufaa, kuna mengi huko, tumetoka huko. ila kwenye kesi yenye maslahi ukiona wameamua kukukazia, utajuta.
Hamna kitu. Inategemea sana na Jaji husika wala sio mawakili.
 
wakili wa kujitegemea akienda pale gerezani anaongea na mteja wake tu. wakili wa serikali anaandaliwa ukumbi au open space wafungwa na mahabusu wote wanakaa chini, pale mbele anakaa yeye, hakimu, rco, na Mkuu wa gereza. niambie kama privilege hizo wakili wa kujitegemea atapata. mimi mwenyewe binafsi nilishawahi kukagua sana magereza na hiyo ni lazima inatolewa report kabisa kupelekwa kwa boss wao dpp kila wakati, umetembelea magereza mara ngapi, umetembelea na kukagua vituo vya polisi gani na lini etc. wapi napotosha sasa? hujui unachoongea, uliza kwa mwanajela yeyote atakuambia.
 
If you argue a lot with a ..... he will bring you to his level and beat you!
 
unawatisha?
Sio kuwatisha,Bali haki ifuatwe
Wao kama mawakili wanalazimishaje njia ovu za Polisi ziwe kweli,Gaidi unamfunga kitambaa usoni toka moshi hadi Dar.Ni sheria au utashi wa mtu.
Magaidi wa ukweli unasafiri nao kwa gari moja tu.
Magaidi unapata mda wakuwanunulia MO energy.
Tuache kulazimisha tuhuma kwa kuwa humpendi mtu fulani
 
Ipo siku Karma itawalipa na ita wakumbusha kuwa mja tupu huondoka tupu. Duniani tunapita tuu.
 
Hakika!
 
Ulimbukeni na kujiona wako juu ya kila kitu kumbe njaa tuu zinawasumbua maana hata wao deep down wanajua wanachokifanya ni totally Immoral & Inhuman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…