Eti wake zetu ma secretary wanaliwaga na maboss wao??

Eti wake zetu ma secretary wanaliwaga na maboss wao??

Kuna Boss anakula sec wake namfahamu,hivi karibuni kuna mfanyakazi mmoja mwanaume kumbe nae alikuwa anakula raha na sec,Boss kugundua tu kamfukuza jamaa kazi,.Na ukichunguza sana hawa masekretari wengi utakuta si wake za watu kwani hawapendi kuolewa mapema kutokana na raha wanazopata toka kwa maboss
 
Hata waume zenu ma-secretary mbona wanawalaga maboss wa kike vile vile!

Ngoma inogile!:nono:

Sema madereva wanaowaendesha mabosi wanawake!! Kuna dogo mmoja alikuwa anamla mkuu wa wilaya X hadi huruma. Maana hawaendani kabisa. Lakini ndo hivyo tena. Mambo yale hayachagui, mme yupo mkoa mwingine na mke ni mkuu wa wilaya mkoa mwingine. Mtu anayekuwa naye wakati wote ni dereva, afanyaje sasa?
 
Yawezekana we ni mmoja wa wanaojiuliza maswali haya kutokana na mwamko mpya waliouanzisha wanakaya ama maboss wetu hasa wanapotoa ajira..jamaa yangu ameoa mke secretary wa kampuni moja maaruf sasa yule dada ameanza kurudi usiku kazi zimemelemea jaana nikiwa rose garden jamaa anasema mi wacha nilewe tu hivi hawa wake zetu masecretary wanaliwaga sana na maboss..nkamwambia sio wote wanaangalia kama amezeeka awamgusi kama kijana endelea kufanya maombi...nikaona anaenda ****** gafla akatuma msg jamani nilikuwepo..nikasema hivi jamani kwani mkiwa mnawaoa amjui ni masecretary na kama ni kazi zao kwa nini msiwaamini....???anyway mwenye mke secretary anawezatupa uzoefu kidogo nijue kijana ntamsaidiaje leo jion kumpa mawazo

Mwambie dawa sio kulewa bali atafuta mwanamke mwingine apata kupumzika vizuri! Kulewa does not help!

BTW: Ma-secretary "kuliwa" na Ma-boss ni jambo la kawaida sana hapa Bongo: Nenda Wizara na taasisi zote za serikali jaribu kudadisi utakuta kuwa 90-95% wana-kulana! Na most-of-them (Secretaries) either hawajaolewa au wamezaa out-of-wed: kwa lugha ya kwetu wanasema "kyeyombekeile".
 
Mwambie dawa sio kulewa bali atafuta mwanamke mwingine apata kupumzika vizuri! Kulewa does not help!

BTW: Ma-secretary "kuliwa" na Ma-boss ni jambo la kawaida sana hapa Bongo: Nenda Wizara na taasisi zote za serikali jaribu kudadisi utakuta kuwa 90-95% wana-kulana! Na most-of-them (Secretaries) either hawajaolewa au wamezaa out-of-wed: kwa lugha ya kwetu wanasema "kyeyombekeile".

wacha mabosi MARAIS NAO WANATAFUNA KWELI
 
1 wakorintho 6:9au hamjui ya kuwa wadhalimu awataurithi ufalme wa mungu...msidanganyike waasherati hawataurithi ufalme wa mungu wala waabuduo sanamu wala wazinzi wala wafiraji wala walawiti wala walevi wala watukanaji wala wanyanganyi;vers 13lakini mwili si kwa zinaa bali ni kwa bwana naye bwana ni mwiliv15je amjui ya kwamba viungo vyenu ni vya kristo na kwa nini mnavifanya viungo vya ukahabaver 16je amjui alieungwa na kahaba ni kahaba maana mmesema wale wawili mtakuwa mwili mmojver18ikimbieni zinaa kila dhambi aitendayomwanadamu ni nje ya mwili wake;ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe..au amjui yakuwamwili wenu ni hekalu la roho mtakatifu???mlieewa na mungu??na wala si mali yenu??maana mlinunuliwa kwa thamani basi mtukuzeni mungu ktika miili yenumungu ibariki jf
 
1 wakorintho 6:9au hamjui ya kuwa wadhalimu awataurithi ufalme wa mungu...msidanganyike waasherati hawataurithi ufalme wa mungu wala waabuduo sanamu wala wazinzi wala wafiraji wala walawiti wala walevi wala watukanaji wala wanyanganyi;vers 13lakini mwili si kwa zinaa bali ni kwa bwana naye bwana ni mwiliv15je amjui ya kwamba viungo vyenu ni vya kristo na kwa nini mnavifanya viungo vya ukahabaver 16je amjui alieungwa na kahaba ni kahaba maana mmesema wale wawili mtakuwa mwili mmojver18ikimbieni zinaa kila dhambi aitendayomwanadamu ni nje ya mwili wake;ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe..au amjui yakuwamwili wenu ni hekalu la roho mtakatifu???mlieewa na mungu??na wala si mali yenu??maana mlinunuliwa kwa thamani basi mtukuzeni mungu ktika miili yenumungu ibariki jf


Asante Baba Paroko!
 
kwa raha zake na ndio maana tuna mabodigadi wanawake kwenye nyumba zetu(HOUSE GIRL) UNAJICHAGULIA TUHiii ni kwa hisani ya watu watandale
Siku hizi wababa tunahusika kutafuta houigelo make ukitafutiwa baya unararamika kuwa chakula ni kibichi. Ukipata miss hata akichemsha kupika we una mwagia masifa. Hapo wakuu, utaniambia, mama asipo kaa sawa anampiku.
 
Siku hizi wababa tunahusika kutafuta houigelo make ukitafutiwa baya unararamika kuwa chakula ni kibichi. Ukipata miss hata akichemsha kupika we una mwagia masifa. Hapo wakuu, utaniambia, mama asipo kaa sawa anampiku.


We Sam si kwa hilo ; usiruhusu tena nasema usi.........Hausigelo akatafutwe na mamsahibu.....................ohooo; mie kabla sijaoa nilimega mke wa mtu alikuwa anasindikizwa na hausigelo! Cjui unanipata hapo?
 
Usiombe ukutane na secretari mwenye mauhusiano ya kingono na bosi wake huwa wana nyodo sana
 
Usiombe ukutane na secretari mwenye mauhusiano ya kingono na bosi wake huwa wana nyodo sana

Hilo ni kweli kwa sababu anakuwe ndiye mama mwenye nyumba. Hivi katika hayo mahusiano, mwenye kosa ni nani?

Nadhani wataalamu wanatakiwa kutueleza psychology ya haya mambo ya uhusiano wa boss na wadogo zake wa kike. Kuna mtu pia alinambia kuwa nurse ni mke mdogo wa doctor. Ila sijawahi kupata jibu kama nurse wa kiume ana uhusiano wowote na doctor wa kike.
 
siku hizi wababa tunahusika kutafuta houigelo make ukitafutiwa baya unararamika kuwa chakula ni kibichi. Ukipata miss hata akichemsha kupika we una mwagia masifa. Hapo wakuu, utaniambia, mama asipo kaa sawa anampiku.


bora chakula mi lawama ile ya asbh na hapo mijianaume aiachagi...chai jamani ya asbh usikubali kupikiwa na hgirlo utalia anapika uku kaikalia
 
Hata wanaume wanawatafuna ma`H/G nyumbani pindi Mama anapokwenda ughaibuni na boss.
 
Kwa technologia ya sasa kusafiri na secretary wa nini lakini?...ila kuna watu wanafurahia wake zao kusafirisafiri...zaidi ya per idems wanapata kauhuru na wao kujirusha bila bughudha
inakuwaje pale bosi akiwa mwanamke na secretary ni mwanamume, uroda huwa unapatikana?
 
we sam si kwa hilo ; usiruhusu tena nasema usi.........hausigelo akatafutwe na mamsahibu.....................ohooo; mie kabla sijaoa nilimega mke wa mtu alikuwa anasindikizwa na hausigelo! Cjui unanipata hapo?


sio tu kukupata nimekusoma kabisa na senkyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kubwa
ila ni sala tu kwa ali ya kibinadamu wanashindwagwa wengi namshukuru mungu kwa rehema zake mie nduguyo ilikuwa aibu ila mungu akisema wako ni huyu hata aje inv atabaki wako...am kidding inv
 
Halafu humu masecretary wamenyamaza kimyaa?
Ukweli wauma eh???????????????
 
Back
Top Bottom