Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni kufokewa kweli?🤔

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?

Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.

Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
 
Kwa muktadha huo inawezekana pia ni mpuuzi anadhani ni puto (pulizo la kuchezea) hivyo anahitaji kufahamishwa aache upuuzi...

Hell hath no Furry like a Woman Scorned....
 
Sawa maradhi hupeleki, je Mikosi na nuksi unayokwenza kuzoa huko, body to body treatment, kisses etc eboo🚮
 
Vipi ikiwa the other way around, utampongeza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…