Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Eti eeh. Huyu si tu kufokewa apigwe na mwiko wa ugali. Maana hajaitumia inamaana kaenda kavuUnaongea kwasababu hayajakukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti eeh. Huyu si tu kufokewa apigwe na mwiko wa ugali. Maana hajaitumia inamaana kaenda kavuUnaongea kwasababu hayajakukuta
Akili za kuambiwa!changanya na zako...lock ya dawa ilishatolewa mkuu, dawa bado zinaendelea kutiririka kula mbususu bila wasi
Aisee! Watu mna majibu!😆😆😆Ngoja na yeye siku aje condom imebaki kwenye papuchi tuone utakavyompongeza
Kwakwelo kama bi mama anaona mbali ww ni wa kupongezwa unajilinda. Hakuna shidoooEti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?
Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.
Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
kwani ushajua zilikuwa box ngapi?Eti eeh. Huyu si tu kufokewa apigwe na mwiko wa ugali. Maana hajaitumia inamaana kaenda kavu
Alitakiwa atumie zotekwani ushajua zilikuwa box ngapi?
duh watz hamuwezekaniAlitakiwa atumie zote