scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Huo ni usaliti kama usaliti mwingime,hakuna anayependa usaliti,totally disappointing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzini ni kuijali familia?Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?
Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.
Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
Ungerudi ukapige kavukavusi ndo apo sasa!
Kwene profile pic yako vipi, jamaa unamtoa kibanzi kwenye jicho lake'nini? 😀😀😜Sio anafoka lengo lake ni majirani wajue kuwa yupo salama na mumewe ni kidume anayejitambua anafundisha majirani Kwa njia ya sauti wawasisitize waume zao kutumia zana😆😆😆😆
nani kasema?Huo ni usaliti kama usaliti mwingime,hakuna anayependa usaliti,totally disappointing.
🤣🤣Kwene profile pic yako vipi, jamaa unamtoa kibanzi kwenye jicho lake'nini? 😀😀😜
🤣labda ndo wanataka ivoUngerudi ukapige kavukavu
Bila shaka ni wakupondezwa.Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?
Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.
Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
🤣Unajitetea sana kama Last born. Pole Mkuu
Your husband is one lucky son of a bitchExactly..sometimes kuna vitu negative kwenye ndoa haipaswi kuviongelea japo vinaumiza ..unapoviongelea ndo inazidi kuwa tatizo.
Sisi wanawake tuna makelele ila huwa hayatusaidiagi chochote
Basi mpe talakanani kasema?
mkuu ndoa sio ya mkeka hiiBasi mpe talaka
Ndoa yoyote unaweza kutoa talakamkuu ndoa sio ya mkeka hii
🤔?Ndoa yoyote unaweza kutoa talaka
lock ya dawa ilishatolewa mkuu, dawa bado zinaendelea kutiririka kula mbususu bila wasiKikao kinawasisitiza Dawa za bure hamna,Mjifunze kuwa na mmoja muaminifu...