Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni kufokewa kweli?🤔

Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni kufokewa kweli?🤔

Huo ni usaliti kama usaliti mwingime,hakuna anayependa usaliti,totally disappointing.
 
Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?

Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.

Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
Kuzini ni kuijali familia?

Haujasikia asilimia kubwa wanaotembea na condom mifukoni huwa ni showoff tu, wakipagawishwa kabla ya kupiga bao huzivua kwa hiari yao na kuzivugumiza huku wakitukana wake zao?

Ama wale wakomavu hujikuta mpira umepanda hadi kwenye kende, umepasuka kati kati ya mechi kwa sababu ya pupa, haujawahi kusikia ama kushuhudia?

Halafu kuna faida gani kuja kutuharibia siku ya wapendanao kwa kutuchumisha dhambi ya uzinzi wako sisi?
 
Sio anafoka lengo lake ni majirani wajue kuwa yupo salama na mumewe ni kidume anayejitambua anafundisha majirani Kwa njia ya sauti wawasisitize waume zao kutumia zana😆😆😆😆
Kwene profile pic yako vipi, jamaa unamtoa kibanzi kwenye jicho lake'nini? 😀😀😜
 
Ungerudi ukapige kavukavu
hawana jema awa ndugu zetu
Screenshot_20250116-083310_Chrome.jpg
 
Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?

Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.

Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
Bila shaka ni wakupondezwa.
 
Upongezwe kwa ujinga? ungekuwa wewe ungempongeza? au angeenda kwao?

Lile usilopenda kutendewa na wewe usilitende kwa mwenzio
 
Back
Top Bottom