Eti Wema mzuri zaidi kumzidi Zari?

Eti Wema mzuri zaidi kumzidi Zari?

Samahanini wanajukwaa...naomba kuuliza, nimepotea njia ya kule jukwaani kwetu kwenye siasa naulizia njia ya kuelekea huko...Samahani sana!! uzee huu.
 
Tumechoka na hizi ligi za wema na Zari.Bahati mbaya hawako sawa kiumri hivyo inakua vigumu kuwalinganisha kiujumla.

Umesema point kweli zinachosha pia. Comparison nzuri ingekua ni wote kulingana kiumri kuwa wote na watoto watatu, biashara, na kila kitu hizo nyingine minor case tu Zari ni Zari ana nafasi yake uzuri wake na ubovu wake, the same to Wema.
 
Binamu mbona Zari nimkubwa sana kwa Wema,yes ni mpuuzi labda na akili yake bado haija changanya lakini Zari unataka kunambia yeye ni Natural beauty yake ile? simchuki Zari wala Simpendi Wema lakini napenda kua fair kwa wote,Wema ana uzuri wake na Zari pia ana uzuri wake...

Apart from being a mother of 3 kids, you can not compare zari to wema, they are different interms of social status and nationality, so kumfananisha wema na zari ni kumuonea wema tu
 
Hahahaaaa yan global wanasikitisha sana et maoni ya mashabik????? Wangap??? kw utafit upi????? Hv hta sisi tusio vipofu wanatak kutulazmisha tuamin huu ushuz wao????? Poor them!!!!

Ebu nisaidie kushangaa hawa itakuwa waliwafanyia mahojiajo team wema ndio maana mxiuuu, ili li imelda silipendi na lilivyokuwa na sura kama sokwe mxiuu
 
Warumi mbona kule umefuta post ,,halaf ufungue uzi umuweke yule mke wa fela ananiua mbavu jamaniii
 
mmmmmhhhh huu sasa utani aisee.
Zari ni habari nyingine kwakweli, plus ile ngozi yake duh mzuri.
Or else labda tuseme kila mtu na jicho lake

Diamond mwenyewe aliwahi kukiri kuwa zari ana ngozi nzuri, sasa nyie team mbwa mwitu mnakuja na takwimu zenu za ajabu, zari ana maisha mazuri yule na ameishi sana nje ye kupigwa na jua hajui kabisa huyo wema wenu kila siku kwenye vigodor mpaka mikorogo inadunda mxiuu
 
Umesema kweli mkuu,ila mwenye maadili ya kiafrika asingeacha watt wake yy atafute raha huku bongo

Kwani uliambiwa ananyonyesha mxiuuuu? Msiokuwa na watoto mfuge mbwa tu
 
Umesema point kweli zinachosha pia. Comparison nzuri ingekua ni wote kulingana kiumri kuwa wote na watoto watatu, biashara, na kila kitu hizo nyingine minor case tu Zari ni Zari ana nafasi yake uzuri wake na ubovu wake, the same to Wema.

Wema hamfiikii zari kwa chochote kwa kweli tuache kujidanganya, sio kimaisha akili wala uzuri, inshort wema sio type ya zari kabisa
 
Mchawi tumseme ila sifa ya kupaa na ungo wake tumpe! zari mzuri! mwangalie bibi bomba wetu hajazaa hata mtoto mmoja kashazeeka! halafu hana future wala akili ya maisha! mwenzie starehe anafanya na pesa anajua kuzisaka! Huyu bibi bomba wetu hata saloon ya mil 5 hana kazi kuonekana anatumia pesa tu!
Zari is a woman.
 
Wema hamfiikii zari kwa chochote kwa kweli tuache kujidanganya, sio kimaisha akili wala uzuri, inshort wema sio type ya zari kabisa

Hebu weka ubuyu wa siwema kanyang'anywa gari hahhahhaaaa na kuswekwe selo juuuuu hhhhhaa
 
Wema hamfiikii zari kwa chochote kwa kweli tuache kujidanganya, sio kimaisha akili wala uzuri, inshort wema sio type ya zari kabisa

Hawalingani hata kidogo kuanzia ngozi yake iko vizuri haijawa affected na mikorogo ya kichina, Zari yuko matured huwezi mkuta yuko kwenye vigodoro sijui nini , tofauti na Wema ana classy flani hivi hafu mjasiriamali mzuri tu.
 
Mchawi tumseme ila sifa ya kupaa na ungo wake tumpe! zari mzuri! mwangalie bibi bomba wetu hajazaa hata mtoto mmoja kashazeeka! halafu hana future wala akili ya maisha! mwenzie starehe anafanya na pesa anajua kuzisaka! Huyu bibi bomba wetu hata saloon ya mil 5 hana kazi kuonekana anatumia pesa tu!
Zari is a woman.

Ahahahah njoo PM nikupe zawadi, umejua kunifuraisha leo asseeh
 
Achen mambo ya ajabu kutuwekea mijadala ya ajabu kama hii, waacheni na maisha yao.
 
Ebu nisaidie kushangaa hawa itakuwa waliwafanyia mahojiajo team wema ndio maana mxiuuu, ili li imelda silipendi na lilivyokuwa na sura kama sokwe mxiuu

Ujue mi nlikuwa nahangaika kujua who's behind of ol ds madness???bt ulipotaja imelda duh yan
baaaass nshapata jib, coz huyu dada ni type ya walala hoi wanaoendeshwa na njaa zao na si taaluma zao
 
Back
Top Bottom