warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #41
Warumi mbona kule umefuta post ,,halaf ufungue uzi umuweke yule mke wa fela ananiua mbavu jamaniii
Mwenzangu yamenikuta uko insta wewe hadi nimebadilisha ID na nimeweka private watu wananitafuta kwa udi na uvumba mmh ni shidaa umbea huu hatr tutakufa mwaka huu, ila msijal wambea wenzangu nikikamatwa nitakuwa shujaa na nyie msiache umbea uko tudumisheni umbea mpaka kifo kitakapotupata hahahah ahaha