Warumi mbona kule umefuta post ,,halaf ufungue uzi umuweke yule mke wa fela ananiua mbavu jamaniii
Mwenzangu yamenikuta uko insta wewe hadi nimebadilisha ID na nimeweka private watu wananitafuta kwa udi na uvumba mmh ni shidaa umbea huu hatr tutakufa mwaka huu, ila msijal wambea wenzangu nikikamatwa nitakuwa shujaa na nyie msiache umbea uko tudumisheni umbea mpaka kifo kitakapotupata hahahah ahaha
Ujue mi nlikuwa nahangaika kujua who's behind of ol ds madness???bt ulipotaja imelda duh yan
baaaass nshapata jib, coz huyu dada ni type ya walala hoi wanaoendeshwa na njaa zao na si taaluma zao
Mchawi tumseme ila sifa ya kupaa na ungo wake tumpe! zari mzuri! mwangalie bibi bomba wetu hajazaa hata mtoto mmoja kashazeeka! halafu hana future wala akili ya maisha! mwenzie starehe anafanya na pesa anajua kuzisaka! Huyu bibi bomba wetu hata saloon ya mil 5 hana kazi kuonekana anatumia pesa tu!
Zari is a woman.
Ujue mi nlikuwa nahangaika kujua who's behind of ol ds madness???bt ulipotaja imelda duh yan
baaaass nshapata jib, coz huyu dada ni type ya walala hoi wanaoendeshwa na njaa zao na si taaluma zao
Mwenzangu yamenikuta uko insta wewe hadi nimebadilisha ID na nimeweka private watu wananitafuta kwa udi na uvumba mmh ni shidaa umbea huu hatr tutakufa mwaka huu, ila msijal wambea wenzangu nikikamatwa nitakuwa shujaa na nyie msiache umbea uko tudumisheni umbea mpaka kifo kitakapotupata hahahah ahaha
Mwenzangu yamenikuta uko insta wewe hadi nimebadilisha ID na nimeweka private watu wananitafuta kwa udi na uvumba mmh ni shidaa umbea huu hatr tutakufa mwaka huu, ila msijal wambea wenzangu nikikamatwa nitakuwa shujaa na nyie msiache umbea uko tudumisheni umbea mpaka kifo kitakapotupata hahahah ahaha
ahahahahahaaaaaa!!!mimi kila siku nakugongea hodi hutaki kunifungulia ona sasa binam yetu wanavyokuandama!!naiandaa ID mpya ya Insta halafu naku PM ole wako usinifungulie
Ntakufungulia yani apa nina followers 280 tu ila balaa limeshaanza wakat wenzangu wana ma followers elfu hamsin ila wala hawazunguliwa khaaa ni shuda nimebadil na ID aseeh
Ntakufungulia yani apa nina followers 280 tu ila balaa limeshaanza wakat wenzangu wana ma followers elfu hamsin ila wala hawazunguliwa khaaa ni shuda nimebadil na ID aseeh
Zari yuko level ingine kabisa ikija kwenye uzuri wa sura na umbo.
We nyani ngabu zari anaumbo gani ni wakawaida sana wala simchukii ashukuru pesa
Ukiondoa miguu Zari ni mkali bana.
Miguu tu ndo labda inahitaji kufanyiwa liposuction.
Ahahahah njoo PM nikupe zawadi, umejua kunifuraisha leo asseeh