Wewe ndiyo pumbavu sana unaefikiri kusaidiwa wewe familia yako ndiyo utapata maendeleo.unasadiwa na ka nchi km ebelgiji kanakolingana au kuzidiwa na hifadhi ya selou. Hajui km misaada ndiyo umasikini wetu. Waarabu ushoga ni kunyongwa nchi nyingine ni kifungo cha maisha. Misaada gani inayotaka tuache utamaduni na ustaarabu wetu? misri wapinzani na waandishi wa habari wamefungwa mbona hawapewi masharti? Paul Kagame anafunga wapinzani hovyo mbona hakuwekewa vikwazo?
Kuna watu walitaka wanyonye mpaka wanaingia kaburini au afe au mama afe ndio iwe mwisho kunyonya. Program zingine ni pilot tu, kisha tunaachiwa wenyewe. Sasa tutajifunzaje au lini tukisaidiwa maisha yote?!
Ni sawa wameondoka, watakuja kutuangalia nu vipi tumeuendeleza, tumekwama wapi na kwanini.
hivi dozi ya ARV huwa ni sh ngapi?
kwahiyo wewe kwa akili zako unadhani ni sawa wapinzani na waandishi wa habari kunyongwa na kufungwa??Wewe ndiyo pumbavu sana unaefikiri kusaidiwa wewe familia yako ndiyo utapata maendeleo.unasadiwa na ka nchi km ebelgiji kanakolingana au kuzidiwa na hifadhi ya selou. Hajui km misaada ndiyo umasikini wetu. Waarabu ushoga ni kunyongwa nchi nyingine ni kifungo cha maisha. Misaada gani inayotaka tuache utamaduni na ustaarabu wetu? misri wapinzani na waandishi wa habari wamefungwa mbona hawapewi masharti? Paul Kagame anafunga wapinzani hovyo mbona hakuwekewa vikwazo?
Uhuru hakuna tuna wakoloni wausi iende manake Magufuli na team yake wanazitafuna
Vipi kuhusu bakuli hampeleki tena?
Upo sahihi, utu wetu uko wapi? Binadamu anahitaji oxygen, maji, tiba na chakula vingine ni ziada tu. Hata wakibana hivyo vyote muhimu tunaweza vipata bila shidaWaondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
kwahiyo wewe kwa akili zako unadhani ni sawa wapinzani na waandishi wa habari kunyongwa na kufungwa??
Uraia wangu haukuhusu cha msingi tujadili mada iliyopo mezani
Nakubaliana na wewe. Lakini yapo masharti mengine yana manufaa kwetu wenyewe. Chanzo kimojawapo cha umasikini wetu ni kukosa utawala bora (kwa mapana yake). Sasa anayekusaidia akikwambia anataka uwe na utawala bora kuna ubaya?? Ni kama wewe umsaidie mtu hela ili alishe familia yake halafu baada ya kumpa pesa umkute baa kalewa chakali....utaendelea kumsaidia?? Jibu linaweza kuwa NDIO lakini kwa hakika utaweka masharti fulani ili kuhakikisha pesa inaenda kununua chakula cha wanae na si pombe/bia. Unaweza pia kujaribu "kumshauri" kuachana na pombe maana ndio chanzo cha umaskini wake. Sasa huyu unayemsaidia akisema hataki "masharti" yako, unafanyaje?? Utaendelea kutoa pesa zikanunue pombe?Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
nani anayethibitisha kuwa huyu ni msaliti na kutoa adhabu?Kwa wapinzani na waandishi wa habari kunyongwa na kufungwa siyo sahihi kabisa...kwa mwananchi wa kawaida kunyongwa na kufungwa siyo sahihi kabisa...Lakini at the same time and along the same lines kwa 'msaliti' kwa maana ya 'traitor' (if proved so) bila kujali kuwa huyu ni mpinzani, mwandishi wa habari, mwananchi wa kawaida, askari, mwanaharakati, mtetezi wa haki za binadamu, mmachinga, mwanasiasa, profesa na kadhalika kufungwa na kunyongwa ni halali (kama sheria za nchi zinasema hivyo)...Kuwa mwandishi wa habari au mpinzani siyo joho la kukufanya ukiuke sheria za nchi au kuwa msaliti..
Nakubaliana na wewe. Lakini hapo masharti mengine yana manufaa kwetu wenyewe. Chanzo kimojawapo cha umasikini wetu ni kukosa utawala bora (kwa mapana yake). Sasa anayekusaidia akikwambia anataka uwe na utawala bora kuna ubaya?? Ni kama wewe umsaidie mtu hela ili alishe familia yake halafu baada ya kumpa pesa umkute baa kalewa chakali....utaendelea kumsaidia?? Jibu linaweza kuwa NDIO lakini kwa hakika utaweka masharti fulani ili kuhakikisha pesa inaenda kununua chakula cha wanae na si pombe/bia. Unaweza pia kujaribu "kumshauri" kuachana na pombe maana ndio chanzo cha umaskini wake. Sasa huyu unayemsaidia akisema hataki "masharti" yako, unafanyaje??
Muhimu ni kutumia busara katika maamuzi yetu.
nani anayethibitisha kuwa huyu ni msaliti na kutoa adhabu?
Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019, ni 32 trilion uliza Misaada ya wafadhili ni trilion ngapi , Uliza matumizi ya kawaida ni bei gani,Uliza Matumizi ya Maendeleo ni bei gani ukijua haya uwezi kuongea vimaneno vyenu Kenya wanajiweza kiuchumi bajeti yao 100% ni pesa yao wakati wakupitsha baje mzigo unakua mezani sio wakudunduliza na bado wanaheshimu mchango wa wafadhili laki hapa bongo bajeti yakufikirika Sh20.468 trilioni kwenye matumizi ya kawaida sawa na asilimia 63 ya bajeti yote.hatuwezi kwendelea adi tujue hesabu, ukipitia report za CAG utasikia Serikali kwa ujumla imepata Hati Chafu. Ukaguzi wa kwanza wa makusanyo na matumizi ya kibajeti ya Serikali ya awamu ya tano, imeonyesha kuwa, kwa ujumla, Serikali ya Jamhuri ya Muungano imepata Hati Chafu Watu wanakuja hapa na kupotosha kodi za kero angalia matuzimizi mtu anakuja hapa anasema hatutaki misaada.Acha ujinga , labda kama hujui bajeti yetu 65 tunategemea wahisani.
Gharama zimezidi huko ruhusa ya kufyatua watoto imetolewa, na ushoga hatuendekezi bLile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
kwahiyo wewe kwa akili zako unadhani ni sawa wapinzani na waandishi wa habari kunyongwa na kufungwa??