Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #261
Sasa mbona bakuli mnalipelekaga kila kukicha au unajitoa akili makusudi?
Wewe ndiyo pumbavu sana unaefikiri kusaidiwa wewe familia yako ndiyo utapata maendeleo.unasadiwa na ka nchi km ebelgiji kanakolingana au kuzidiwa na hifadhi ya selou. Hajui km misaada ndiyo umasikini wetu. Waarabu ushoga ni kunyongwa nchi nyingine ni kifungo cha maisha. Misaada gani inayotaka tuache utamaduni na ustaarabu wetu? misri wapinzani na waandishi wa habari wamefungwa mbona hawapewi masharti? Paul Kagame anafunga wapinzani hovyo mbona hakuwekewa vikwazo?