mkuu mbona tunamuona kila weekend Mbappe ni overrated game ikukatae ndio one to one zaidi ya 5 ukose zote michuano yote inakuja kweli?......sahizi ndio nakumbuka fainal ya Psg na bayern alikosa goli za wazi hivihivi hadi bayern akabeba ndoo.....anavingi vya kujofunza kwa Benzema katika finishing......Hiyo ni game imemukataa tu leo. Dogo ameshaonyesha uwezo anao, bila yeye hawa hawa France sizani kama wangebeba kombe la dunia 2018.
Aah, kweli mkuu. Ahsante sana kunikumbusha.Austria mkuu, Australia wapo bara lingine
Majonzi haswa mkuu, kukipambazuka nitampa Spain kipaumbele hapo.
Paund mil 200 hahahaha...wachezaji wa ufaransa waache bata hata griezmann sahizi sio yule wa 2017-2018
Belgium wako vizuri sana. England hati hati…
Ila mpira ni mchezo wa kushangaza, tusubirieBelgium wako vizuri sana. England hati hati…
Kila sehemu siasa😂😂😂Wazungu bwana ;
Wazungu ni wazungu tu,
Ukiangalia timu ya France na Uswizi utapata majibu,
Halafu Kuna watu wanafikiri watawazidi akili wachina Mradi wa Bagamoyo.
Thubutu.
Acha uongo, alidhani pen inatakiwa irudiweMkuu naomba ile clip baada ya mbappe kukosa penalty kipa wa swiz akawa anashangaa shangaa akidhani penalty zinaendelea ikabidi wenzake wamshtue.."oya tumeshinda f*ra ww"
Ukweli lazima usemwe hauepukiki.Kila sehemu siasa😂😂😂
Kibaya zaidi ana tabia ya ubinafsi sana,na hii tabia nimeiona kwa makinda wengi wa miaka hii wanaokuzwa sana na vyombo vya habari,mfano Rashford.mkuu mbona tunamuona kila weekend Mbappe ni overrated game ikukatae ndio one to one zaidi ya 5 ukose zote michuano yote inakuja kweli?......sahizi ndio nakumbuka fainal ya Psg na bayern alikosa goli za wazi hivihivi hadi bayern akabeba ndoo.....anavingi vya kujofunza kwa Benzema katika finishing......
Anakipaji ila sio kama kimavyokuzwa, style ya maisha yake sio sahihi alijisemea Giroud mtoto hatali toa hata pasi.
Pamoja sana mkuu, karibuAah, kweli mkuu. Ahsante sana kunikumbusha.
Italy wanabeba hii ndooBado nawapa Italy au Denmark..