Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Mbappe kukosea mechi moja tu aimanishi kwamba ni m'bovu mkuu.
 
Team portugal bado hatujaondoka hivyo tutawapa lift team France turudi zetu manyumbani.

Benzema nuksi sana bora butu giroud hafungi ila anatoa chance kwa wenzie kufunga badala yake😂😂😂😂

dos.2020 Benzema anaomba lift kwa CR7 huko
 
Siku hizi hakuna mnyonge kwenye euro ,vigogo wote wanagogolewa .

France out

Portgual out

Belgium naumuona final
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…