Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Yaan nlikua uhakika timu mbili hapo lazima zitoboe nusu fainali ila ndo hivyo...bado naamini Italia atanitetea
Hii Euro balaa mzee..sema hata mm naimani sana na "Azzuri"..wajomba wako vzr experience na damu changa zinawasaidia sana na ukiweka na kocha mzr anayejua mfumo wa kiItalia(Kujilinda kwnz vzr kabla ya kuwaza kufunga)..naiona Italy wakinyanyua makwapa..lkn Dark Horse wng lilitokea la kutokea sitashangaa sana ni Denmark.
 
Hahaha
 

Its coming home
 
Who is the best manager left at #EURO2020?

[emoji634] Roberto Mancini
[emoji633] Luis Enrique
[emoji1087] Kasper Hjulmand
[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Gareth Southgate

Four coaches on the brink of history [emoji2956]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…