Ujerumani .hawako kwenye form tangu 2014 .walivochukua world cup. . ndo wakapotea[emoji23] [emoji23] [emoji23], watakapobeba ndoo ndio utawaelewa vzr mkuu, now wamechange sana, hvi England ni yakumgaragaza mjerumani kweli??.
Lkn mkuu wote tunajua Ujerumani sio ile ambayo tuliiona miaka ya karibuni..Germany walikua wameshafika peak yao na the only way ilikua ni down ili kuregroup tena upya ndo maana unaona wameanza project mpya saiv na Hans Flick..so hoja yng ni kwamb England kumfunga Germany ya sasa sio big deal ukizingatia Germany imeshuka sana ranks sio ile tena..najua washabik wa team ya Malkia mna uchu sana na Kombe lkn bd Siioni ni namna gn England anakua bingwa wa Euro hii..tuanze na Denmark leo tukimaliza tutawaona kama mkifanikiwa kukutana na Italy.[emoji23] [emoji23] [emoji23], watakapobeba ndoo ndio utawaelewa vzr mkuu, now wamechange sana, hvi England ni yakumgaragaza mjerumani kweli??.
Timu ina nyota kama Jack Grealish,Mount,Foden,Harry Kane,Shaw,Trippier,Walker,Sancho,kivipi inakuwa siyo timu nzuri?..
Tunataka kusema Denmark wana vipaji vikubwa kushinda Uingereza?..
Hii Team siku Messi akiachana nayo mazima watakuja kumkumbuka sana
Sijui kwanini huwa hawajitumi wanamtegemea messi pekee
Huyu Aguero akiwa city ni tofauti na Argentina Why?
Napataga hasira sana
Let's see kamandaIngawa Denmark leo atakuangusha mkuu.
Umeongea ukweli mtupu mkuu, ila pamoja na kufungwa jana spain walikuwa na mpira mzr sana jana, naamini wakijipanga vzr wanaweza kurudi kuwa fire kama enzi za hao manguli uliowataja,.
Huyu Aguero akiwa city ni tofauti na Argentina Why?
Napataga hasira sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka pweza, nipe England na Denmark nitie laki leo.My prediction
1-1..
Italy to win by penalt shootouts.
Nasubiria vikosi vitoke kwanza saa tatu.Kaka pweza, nipe England na Denmark nitie laki leo.
Sawa chief, ngoja nideposit kabisa nikikusubiri.Nasubiria vikosi vitoke kwanza saa tatu.
Hii alistahili Pedri kwa maoni yangu.Man of the matchView attachment 1844028
Olmo alistahili hii tuzo
Mkeka wako ukilost usinikwide mashati lakini..Sawa chief, ngoja nideposit kabisa nikikusubiri.
Tahadhari muhimuMkeka wako ukilost usinikwide mashati lakini..
Hahahah watu wana maneno