Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

England ni heri wakubali yaishe waage mashindano leo, Wakileta ubishi Fainali wanakwenda kuaibika na kuwaaibisha Royal family na ma Sir wao watakaojitokeza uwanjani kwa confidence ya kudanganywa na media zao.
[emoji23]mkui umefny nifurah tu..eti ni bora wakubal yaishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…