El Chapito
Member
- Apr 28, 2020
- 63
- 65
Dah isiwe Ivo tunamuombea Ericksen apone tuAsee EURO 2020 ishakuwa gundu tayari...kifo cha huyu mchezaji kinapoteza mvuto wa mashindano haya
Kweli gundu mechi hii ishaharibu sikuAsee EURO 2020 ishakuwa gundu tayari...kifo cha huyu mchezaji kinapoteza mvuto wa mashindano haya
Nipo na wasafi FM hapa huyu dada kasema tayariDah isiwe Ivo tunamuombea Ericksen apone tu
Mechi imesimamishwa kwa muda usiojulikanaMKuu tupe kilichomtokea
Mbaya sanaHali tete, habari mbaya zimeanza kuenea mitandaoni, tumuombeee jamani
Daa ninaomba isiwe hivyo
Na iwe hivyo. Nimevurugwa balaaView attachment 1816454
Nadhani katoka salama!!
Na Mimi mkuu.Na iwe hivyo. Nimevurugwa balaa
Duh acha mkuu.... Sijawahi shuhudia mtu anapigania maisha yake kwenye live coverage!! Nlihisi kupagawaNa iwe hivyo. Nimevurugwa balaa
This makes me feel cold.