Pana waqt huwa nagoma kuamini kikosi kile hakikuweza kutamba
Waingereza wanataka kubakiza kombe nyumbani kwa mbinu yoyote ileDah hawa jamaa wamekusudia ubaya kwa kweli. tena hata aibu hawana
Hesgoal.comHivi Copa America inaonyeshwa kwenye channel yoyote ya king'amuzi cha AZAM?
Mkuu samahan..ivi hii web..ukiingia tu unakuta game ipo kwny opt una click then una watch au..maana natak nifanye majaribio kabla ya mda hapa.Hesgoal.com
Game muda ukifika ndio inawekwaMkuu samahan..ivi hii web..ukiingia tu unakuta game ipo kwny opt una click then una watch au..maana natak nifanye majaribio kabla ya mda hapa.
Game muda ukifika ndio inawekwa
Game gani?Game inaanza saa ngapi?
HakunaHivi hii michezo haina mshindi wa tatu?
Hebu nenda katest sasa hivi kuna game ya Raja ifungue kama itafunguka then leta mrejeshoMkuu samahan..ivi hii web..ukiingia tu unakuta game ipo kwny opt una click then una watch au..maana natak nifanye majaribio kabla ya mda hapa.
Poa poa mkuuHebu nenda katest sasa hivi kuna game ya Raja ifungue kama itafunguka then leta mrejesho
[emoji23]Dah aya bn mkuu..time will tell..uzr wa mda huo hauongopi..washabik wa team ya malkia sitak pata picha kbs mkifungwa at your own backyard.Kesho muda kama huu tutakuwa tunaongoza moja
Mkuu naona mzigo uko vzr kbs..yan mda ufike tuHebu nenda katest sasa hivi kuna game ya Raja ifungue kama itafunguka then leta mrejesho
Wanajidanganya sana England[emoji23]Dah aya bn mkuu..time will tell..uzr wa mda huo hauongopi..washabik wa team ya malkia sitak pata picha kbs mkifungwa at your own backyard.