Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Kama mnataka fitina hata goli la foul la Denmark halikua halali. Sheria inasema wazi timu inayoshambulia inatakiwa angalau iwe mita 1 mbali na ukuta wa timu inayokaba.



Ingekua uingereza ndio wamefunga hii foul siku nzima watu wangeizungumzia jinsi uingereza alivyobebwa na free kick isio halali. Sababu denmark ndio kashinda munaipotezea.

Pia beki wa Denmark Ali rudisha mpira kwa kipa, ambayo adhabu yake ni free kick ndani ya box.


Mita moja kwa upande gani!? Pembeni au mbele yao.. Ukiangalia vizuri, wachezaji wa England [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 wamesimama kwenye ile mark line aliyoweka refa na sio kuwa wako nyuma yake, naona ni mchezaji mmoja tu ndio yupo nyuma ya huo mstari.
 
Kama mnataka fitina hata goli la foul la Denmark halikua halali. Sheria inasema wazi timu inayoshambulia inatakiwa angalau iwe mita 1 mbali na ukuta wa timu inayokaba.



Ingekua uingereza ndio wamefunga hii foul siku nzima watu wangeizungumzia jinsi uingereza alivyobebwa na free kick isio halali. Sababu denmark ndio kashinda munaipotezea.

Pia beki wa Denmark Ali rudisha mpira kwa kipa, ambayo adhabu yake ni free kick ndani ya box.
Natamani UEFA wamulike kama wanavyomulika hili.

UEFA has opened disciplinary proceedings against England following last night's win over Denmark. Use of laser pointer by its supporters, disturbance caused by its supporters during the national anthem and lighting of fireworks by its supporters are the three charges UEFA will investigate.

#EURO2020 | @Goal233
IMG_20210708_232800_874.jpg
 
Mita moja kwa upande gani!? Pembeni au mbele yao.. Ukiangalia vizuri, wachezaji wa England [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 wamesimama kwenye ile mark line aliyoweka refa na sio kuwa wako nyuma yake, naona ni mchezaji mmoja tu ndio yupo nyuma ya huo mstari.
Hizo ni picha 2, picha ya kwanza wa Denmark wapo mbali na ukuta wa England na refa ndio aliwapanga

Picha ya 2 inaonesha kabla mpiga FK hajagusa mpira wachezaji wa Denmark waliacha position yao na kusogelea ukuta wa England kwa eneo la chini ya mita 1 ambalo ni Kosa kisheria.

Hivyo wachezaji wa Denmark ndio walikuwa na Kosa kwa kuwepo mahala wasipostahili, kupelekea kipa kuzibwa na kuwa na late reaction.
 
Denmark boss Kasper Hjulmand says he feels 'bitter' after his side's exit insisting England's penalty in extra-time shouldn't have been given. [emoji2424][emoji187]

IMG_20210709_170950_748.jpg
 
Back
Top Bottom