ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wakapewa penati ya magumashi
Yes namba 10 katika mifumo kadhaa kwa sasa ni almost haipo.Inside ten ndionrole gani hii..!? Namba 10 hiyo ndio asili yake.
Timu ilikuwa haina balance.Una beckham, wazza, rio, Terry, lampard, Gerrard, Cole, scholes, hargrave's na wengine wa kizazi kile lakini hatukuweza kufika hapa najiuliza chemistry haikuwepo au ni nini? .Kwa uwezo wa mmoja mmoja majina yale yalikuwa yanatisha
Sure ni ya kutengeneza hiyoHii sio ya kutengeneza kweli?
Pana waqt huwa nagoma kuamini kikosi kile hakikuweza kutambaTimu ilikuwa haina balance.
Unakuta kwenye midfield wana strong players lakini golini wanapazia.
Au kwenye defence wana magalasa imagine world cup 2010 walienda na Mathew Upson kama beki wa kati
Hakikuweza kutamba kwa kukosa wachezaji wazuri kwenye maeneo muhimu.Pana waqt huwa nagoma kuamini kikosi kile hakikuweza kutamba
Hata David James nae alikuwa mwezi mchanga uingereza makipa ni Gordon banks, Peter Shilton na akamalizia David seamen hawa wengine tunapuyanga puyanga tu.Hakikuweza kutamba kwa kukosa wachezaji wazuri kwenye maeneo muhimu.
Baada ya David James Uingereza haikuwa tena na golikipa bora walau kuweza kumtegemea kwenye mashindano.
Na kwenye maeneo mengi uwanjani walikuwa na mapungufu makubwa sana ikiwemo kuwa na wachezaji wengi ambao walikuwa old school wakati timu zilikuwa zinashift kutoka kwenye mechanical football kwenda kwenye mpira unaotumia skills.
Huyo Chiellin tokea anaingia uwanjani alikuwa na vibe sana moyoni mwake maana alikuwa anafuraha sana mpaka nikawa najiuliza anafurahia kitu gani. Walipoenda kwa waamuzi kurusha shilingi akawa na masihara sana akawa anamzingua captain wa Spain. Sijui alikuwaje huyu mwambaHahaha, ila Italy sana mambo aisee...nilikuwa namshangaa Chiellini anavyomchekea chekea Jodi Alba na kumshika kama katoto kabla ya kupiga penati nikajiuliza kuna nini na mpaka sielewi
View attachment 1848183
SawasawaSure ni ya kutengeneza hiyo
Modern Pickford amekuwa bora sana toka World cup 2018.Hata David James nae alikuwa mwezi mchanga uingereza makipa ni Gordon banks, Peter Shilton na akamalizia David seamen hawa wengine tunapuyanga puyanga tu.
Huyu demu mkali naomba connection mkuu
Vitu ni tofauti sana mkuu kwa sasa
Ameweza kupita rekodi ya Gordon banks ya dakika 720 kwa dakika moja sio mafanikio madogoModern Pickford amekuwa bora sana toka World cup 2018.
Hata sasa hivi Uingereza siyo bora kivile kwenye defence ile Pickford anafanya kazi yake vizuri sana.
Yeah hata world cup 2018 aliwachelewesha sana England kutoka.A
Ameweza kupita rekodi ya Gordon banks ya dakika 720 kwa dakika moja sio mafanikio madogo
Ana jitahidi ila hayupo makini sana game ya juzi karibu mara mbili aliwarushia mipira wapinzaniYeah hata world cup 2018 aliwachelewesha sana England kutoka.
Makosa uwanjani hayakosekani uwanjani lakini anajitahidi sana.Ana jitahidi ila hayupo makini sana game ya juzi karibu mara mbili aliwarushia mipira wapinzani