Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Ni mfungaji bora? Tuna ingia fainali na hakuna mwenye record yake. Goli 5 na assist 1. Na toka Euro ianzishwe Ronaldo Ana Goli 14 na Platini wa pili ana Goli 9. Huoni kwamba ni Striker Bora zaidi michuano ya Euro?huyo Ronaldo amefanya nini kwenye hizi euro?