Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MnoooUzembe wa hali ya juu
Tambo hizo. Bado mapemaHii penalty ya shaw pia uingereza hawakustahili, wanabebwa.
Wamekula chanjo haoWamejazana uwanjani alafu wanatuambia sisi tukae mbali kuna corona.
Shaw anakimbiza sio kitoto..Mourinho tumbo joto huko.Shaw kwangu ndio mchezaji wa Euro 2020.
Kaupiga mwingi sana tangu michuoano hii ianze. Mbali na goli la leo ana assists 3.
Wakuu hivi washabiki kujaa uwanjani na hii kovid ndio chanjo imefanya kazi au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuuHii penalty ya shaw pia uingereza hawakustahili, wanabebwa.
Haingii kwa tshabalala wa mabingwa wa Tz[emoji4]Luka Shaw..
Best left back in the world...
GGMU
Muda wa vitisho umeisha, Sasa hivi itaua Africa tu.Wakuu hivi washabiki kujaa uwanjani na hii kovid ndio chanjo imefanya kazi au?
Watu washapata immunization..Wakuu hivi washabiki kujaa uwanjani na hii kovid ndio chanjo imefanya kazi au?