technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Bao la kuchukulia mkopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi wale waliojaa kwenye ile Kariakoo derby?Wakuu hivi washabiki kujaa uwanjani na hii kovid ndio chanjo imefanya kazi au?
Aaaahaaaa brazaaaaa....acha noma bhanaHaingii kwa tshabalala wa mabingwa wa Tz[emoji4]
Kwa hiki kikosi tunaua mtu first half
Inawezekana ,Kuna umiliki wanaonyeshaBado naamini Italy atafanya jambo
Na waingereza wamejua kuutumia vilivyo.Upande wa Emarson kama pazia
Wataelewa baadae wazee wa historiaNilisema mimi[emoji1369][emoji1369][emoji1369]
Its not over until its overInawezekana ,Kuna umiliki wanaonyesha
Endelea kuwapa mudaBado nawapa nafasi Italy ya kurudi mchezoni na kusawazisha