Zimebaki dk 45, England kashajipatia goli lake, ngoja tuone Azzurri naye kama atayapata hayo magoliMi nishafungua mvinyo hapa mkatoliki Italy2 England 1 na lazima timu moja itapata goli la penati.
Au wapige mashuti ya mbaliHili pira biriani la italy ni ngumu kupenya beki ya england. Kupata goli inatakiwa counter attacks na mipira ya kasi.
Utabidi agomee ya 2024Italy endapo atafungwa atakuwa na mkosi na fainali za Euro
Wenzako si wajinga hapo wana chanjoWamejazana uwanjani alafu wanatuambia sisi tukae mbali kuna corona.
Wamejazana uwanjani alafu wanatuambia sisi tukae mbali kuna
Kariakoo imeungua moto,
Sio leo tuSema Luke Shaw leo kawaka sana
Sio leo tu,Shaw amekuwa outstanding for months now..Sema Luke Shaw leo kawaka sana
Hilo wimbi la tatu lipo Afrika tu au?tunachezeana akili tu hamna lolote ππWenzako si wajinga hapo wana chanjo
Au kama ya Argentina X Brazil..masihara tu game inaisha ivo...sitak England washinde kwa sbb ya kelele na fujo zao lkn kama Italy asipokua makin mambo yatabak ivo ivo..tulisema hapa pengo la Spinnazolla ni kubwa sana angalia leo mbavu yake kule Emerson anacheza sindimba tu anaruka ruka tu na ndo wanapatumia kule kama kichochoro chao wkt wanashambulia.Italy wanaupiga mwingi sana ila waingereza wapo makini na goli lao...I'm afraid hii ngoma inaweza kuwa ndo imeisha kama ile ya Simba na Yanga...ikitokea wakasawazisha wajukuu wa malkia wameisha.
Hilo wimbi la tatu lipo Afrika tu au?tunachezeana akili tu hamna lolote ππ