Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kweli yule mtoto kama choko anavyokimbia na kujibinua nyuma.Mwanaume anakimbiaje kaweka mikono style ya kuchamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli yule mtoto kama choko anavyokimbia na kujibinua nyuma.Mwanaume anakimbiaje kaweka mikono style ya kuchamba
Shukran hongera sana nawe kwa kunyanyua kwapaGuasa Amboni
Mussolin5 n.k
Poleni sana ndugu zangu, ndio mchezo wenyewe....kufika final si kitu rahisi, mmepambana.
Leta stats hapa mkuu.....mfungaji bora wa ulaya ni Lewandowski haya uefa wamechukua chelsea, atletixo wamebeba la liga mbele ya Messi.....Kwnz declare interest ww ni shabik wa cr7 hlf niendelee nianze kukuleta stats ss kwnn Messi anachukua tuzo ya 7..tusibishane kama wanywa kahawa vijiweni wkt mpr ni mchezo wa wazi na kila mtu anaona.
Ndo maana nikakwambia Tena bora umezungumzia mbappe nilikua natak ujichanganye kwnye iyo hoja hapo..tuzo ya Ballon D'or sio mbeba makombe bora peke yake tuzo ile ni inahusisha individual nan alikua bora plus kusaidia team yake kwa kiwango kikubwa kuArchieve mataji..sasa naanza kukupa stats za kuback uo claim yangu..hlf na ww niletee za Lewa au Jorginho kua anastaili.Leta stats hapa mkuu.....mfungaji bora wa ulaya ni Lewandowski haya uefa wamechukua chelsea, atletixo wamebeba la liga mbele ya Messi.....
Uero ndo italy....
Messi kabeba Copa america
je yeye kubeba tu Copa ni kigezo kuwa anastahili Tuzo?
Mbona kina mbappe walichukua ligi na world cup hawakupewa tuzo?
Mbona Varane alikusanya makombe 3 hakupewa tuzo?
Unazungumzia stats gani ndugu yangu? Kama magoli lewandowski amemzidi, kama makombe basi Jorginho amemzidi apewe tuzo yeye kama nani??Ngj wakae hapo wajidanganye Messi iyo tuzo anachukua hata kabla ya misa ya kwnz..yan mapema kbs anaye bisha sawa..lkn kama kuna m2 anatk tufanye argument kwa stats au numbers aje tumlete Lewa tumlete Jorginho hlf tuweke na Messi hao si ndo contenders bas twende kaz tuArgue kwa facts sasa.
angalia hapo juuNdo maana nikakwambia Tena bora umezungumzia mbappe nilikua natak ujichanganye kwnye iyo hoja hapo..tuzo ya Ballon D'or sio mbeba makombe bora peke yake tuzo ile ni inahusisha individual nan alikua bora plus kusaidia team yake kwa kiwango kikubwa kuArchieve mataji..sasa naanza kukupa stats za kuback uo claim yangu..hlf na ww niletee za Lewa au Jorginho kua anastaili.
NOTE:Njoo na hoja zako zikiwa na numbers na ziwe na mashiko kuback up claim yako nan anastaili..sio kusema tu fulan apewe.View attachment 1850656View attachment 1850655
Kumbe ww unajua tuzo ni magoal tu sio..bas ndo maana unaruka ruka na wa2 wawili mara Lewa mara Jorginho .Unazungumzia stats gani ndugu yangu? Kama magoli lewandowski amemzidi, kama makombe basi Jorginho amemzidi apewe tuzo yeye kama nani??View attachment 1850661
Kumbe ww unajua tuzo ni magoal tu sio..bas ndo maana unaruka ruka na wa2 wawili mara Lewa mara Jorginho .
Sasa nianze na #Lewa zaid ya hcho kiatu cha dhahabu kafanya nn zaid kwenye Euro si team yake imetoka makundi mapema kbs hapo Messi team yake ni mabingwa na kaongoza kila ki2 kwnye Copa america.
Tuje kwa uliyemrukia Bwn Jorginho,huyu ndo sina hata cha kumzungumzia kwnz kumweka kwenye Sentensi za kua anaweza beba tuzo ya Ballon D'or ni criminal offense ambayo aliye isema angetakiwa kwenda mahakamani kujibu tuhuma..kwa sbb Jorginho hana kinachombeba tafuta hata namba zake kwnye midfield Kante ni bora mara 5.
Kiufup na lbd ningependa tu kukwambia kua Lewandowski alistaili kbs kubeba tuzo mwaka jana ambapo French Football Magazine ndo walifuta Sherehe izo za kutoa tuzo kwa kigezo cha Corona..nilijisikia vibaya sana kwa Lewa kutopewa ile tuzo mwaka jana kwa sbb alikua ana deserve more than 100% na had leo ntawalaum French Football Magazine kwa unyama ule waliomfanyia Lewa kumnyima tuzo 2020.
Lkn ili la mwkaa huu 2021 kusema eti lewa anastaili kwa sbb ya Golden Boot wkt mwaka huu vigezo kua Mama ni performance za wachezaj kwenye michuano ya Euro au Copa america na yy team yake ya poland ilikua ya mwsh na wakatoka Group stage ni rubbish talk kbs na hawez beba iyo tuzo.
Najua fans wa cr7 mnaumi lkn hakuna namna..mchezaj wenu atakua anavaa idadi ya tuzo za#Messi mgongon kwake had pale lbd Messi apate ya 8 na There is nothn you can do abt it.
I REST MY CASE LADIES&GENTLEMEN.
Leta stats hapa mkuu.....mfungaji bora wa ulaya ni Lewandowski haya uefa wamechukua chelsea, atletixo wamebeba la liga mbele ya Messi.....
Uero ndo italy....
Messi kabeba Copa america
je yeye kubeba tu Copa ni kigezo kuwa anastahili Tuzo?
Mbona kina mbappe walichukua ligi na world cup hawakupewa tuzo?
Mbona Varane alikusanya makombe 3 hakupewa tuzo?
Wewe muache yy si anaendekeza unazi wa cr7..anasema Jorginho amesaidia leta numbers bas amesaidia kwa maneno tu kwan stats hakuna..Messi kashinda Copa Del Rey Na Copa America..ss anatk kusema nn zaidUsibishane na wanaojua/watoa tuzo...mimi na wewe ni wale wale tuu....tuwaachie wenyewe. But kwa vision yangu Messi anachukua
dah uliona mbali saanaThis is thing I don’t like. Sasa hivi wanawaingiza black players waende ku miss penalts iliwawalaumu weusi!
Umetishagli Azzurri Italia nawapa nafasi kubwa
Kundi la kifo wote walikufaBingwa atatoka kundi la kifo F