Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 998
- 2,506
Sasa tutakuwa na amani mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ila Mods watupe wiki tuone picha kutoka London to Fuimicino - Aeroporti di Roma na sharmashamra zao huko ItaliaThread imefungwa
Utakua mshabik wa cr7 unatafuta sehem ya kujificha sasa..anastaili kwa kubeba tu makombe sio..tuzo ni ya mchezaj bora individual nenda katafute stats za Messi mwaka huu hlf weka ameshinda na Kila ki2 kwny copa america ikiwemo na Kombe lenyew..hlf unaleta mambo ya anastaili njoo na stats sio kuback up tu kinazi kua anastailiJorginho anasitahili
Mbona kama umepanic mzee tafuta maji kunywa,hlf relax leta stats mpr sio mchezo wa chumbani kua unacheza wengne hawaoni stats zinaback up claim yng..anacopa america na copa del rey...na amekua bora sana mwaka huu na stats zinasema ivo..ss ww kama unahamu ya kubisha bishana kwa hoja...kama huna bas relax ulale.Chawa wa messi bwana ..angejua kuna chawa wake bongo hapa antekutumia hata t shirt yake
CR7 for life. Ndo hivyo tu 👏👏👏Chawa wa messi bwana ..angejua kuna chawa wake bongo hapa antekutumia hata t shirt yake
Haha ni vzr umekubal huna hoja mkuu..ni jambo jema umekua muungwana.Sawa chawa wa messi! Umeweka na profile kabisa hutak mchezo kabisa chawa
Mashabiki wa Penaldo mnatafuta kichaka cha kujifichia..hiyo anachukua Messi kwa mara ya 7 na hiyo 7 itakuwa mgongoni mwa CR7Jorginho anasitahili
Unajua nimegundua kitu, ingawa tunasema kuwa mashabiki wa England wana midomo ila na wa Italy nao ni walewale tu.Jorginho anasitahili Ballon d'Or
Hata Messi hawezi chukua hii ballon d'Or, subirini muone.Kuna Messi
Jorginho hastahili hii ballon d'Or, lakini amini usiamini hata Messi hata chukua hii tuzo mwaka huu regardless statistics inazotumia hapa.Utakua mshabik wa cr7 unatafuta sehem ya kujificha sasa..anastaili kwa kubeba tu makombe sio..tuzo ni ya mchezaj bora individual nenda katafute stats za Messi mwaka huu hlf weka ameshinda na Kila ki2 kwny copa america ikiwemo na Kombe lenyew..hlf unaleta mambo ya anastaili njoo na stats sio kuback up tu kinazi kua anastaili
#MESSI NI SWALA LA MDA TU BALLON D'OR YAKE YA 7 ANAENDA CHUKUA NA HATERS UPANDE WA 2 YOU CAN DO NOTHN ABT IT.
Italy wanaupiga mwingi sana ila waingereza wapo makini na goli lao...I'm afraid hii ngoma inaweza kuwa ndo imeisha kama ile ya Simba na Yanga...ikitokea wakasawazisha wajukuu wa malkia wameisha.
Denmark Angepita hapo angechukua.Tukutane tena Doha mwakani Mungu akipenda mkuu.
Jamvi langu chamdomo alilikojolea kidogo likaoza sehemu kiduchuView attachment 1850169