Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AloraAnastahili mno. Grazie to him [emoji122]
Huyu refa Mdutch huwa ananikosha sana.Mzee wng..BJORN KUIPERS hanaga masiara faulo za kawaida uwa hatk kbs kusikia anaendeleza game tu.
Kocha hana akili unamtoaje captain wa liver mpiga penati mashuhuriWachezaji wa Arsenal na nyumbu ni bogus, bora sisi Chelsea tumekosa penalti lakini tumechukua ubingwa.
Ila bora hili kuliko lile kombe la mapinduzi, kombe refu kama kinu ya kutwangia kisamvu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii kombe ilivyo angechukua Simba Yanga wangesema ni chemli ya taa bila kuangalia thamani
Lakini ndo mabingwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini pia kuna takataka moja la chelsea lilisifika sana baada ya kubahatisha ile penalty nusu fainali, afadhali leo limekosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini vikombe viwili? Hata tukipewa kwa kijiko IT'S OK 🇲🇽 😆Kalale huko.
Unakaza fuvu sana.
Mmeshinda, divai mtapewa vikombe viwili au?
Nawashukuru wazee wa Azzurri kwa kunitunzia imani yangu kwao.Nitapitia comment zenu kesho. Nikushukuru sana FORTALEZA kwa uzi mzuri uliotuweka hapa jukwaani kwa mwezi mzima. Mwifwa Chief-Mkwawa Pole sana jamaa yangu.
Tunashukuru tumepunguziwa kelele na wale chamdomo.
Nawapenda wote
Simba waliona mbali wakaona si heshima kukabidhiwa kinu,wakawaachia YangaIla bora hili kuliko lile kombe la mapinduzi, kombe refu kama kinu ya kutwangia kisamvu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini uwe aware na blacks?Nahofia hao blacks wa England watakavyo kuwa abused
Tuonyeshee kadiMimi ni team italy niliingia kwenye michuano hii nikiwa sijipi nafasi sababu kikosi cha kawaida
Ila nilivyoangalia mechi za mzunguko wa kwanza tu nikawaambia watu Italy tunafika final maana tunacheza kama timu tofaut na wengine wanacheza majina