Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Mashabiki wa Penaldo mnatafuta kichaka cha kujifichia..hiyo anachukua Messi kwa mara ya 7 na hiyo 7 itakuwa mgongoni mwa CR7
Kwangu Mimi anasitahili, nyie mnaoteseka na Messi na Ronald wapeni, lakini Mimi nimesema Jorginho anasitahili kaupiga mwingi Sana na kama Jana majeraha yale yangemtoa, Italy wangepoteza Mechi mapema kabsa.
 
Utakua mshabik wa cr7 unatafuta sehem ya kujificha sasa..anastaili kwa kubeba tu makombe sio..tuzo ni ya mchezaj bora individual nenda katafute stats za Messi mwaka huu hlf weka ameshinda na Kila ki2 kwny copa america ikiwemo na Kombe lenyew..hlf unaleta mambo ya anastaili njoo na stats sio kuback up tu kinazi kua anastaili
#MESSI NI SWALA LA MDA TU BALLON D'OR YAKE YA 7 ANAENDA CHUKUA NA HATERS UPANDE WA 2 YOU CAN DO NOTHN ABT IT.
Jorginho mwenyew kashinda kila kitu Uefa , euro, magori unayosema , Messi kazidiwa na Lewandosk
 
Unajua nimegundua kitu, ingawa tunasema kuwa mashabiki wa England wana midomo ila na wa Italy nao ni walewale tu.

Kwahiyo Jorginho anastahili ballon d'Or kwa kupata ile penalt nusu fainali au? maana kama ni uwezo uwanjani katika haya mashindano hawezi kumgeukia hata CHIESA tu au INSGNE.

Hebu kuweni wastaraabu bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeangalia nyanja moja tu ya uItaly lakini inawezekana uchelsea ndio unaowasumbua.
 
Hongereni mashabiki wa Italy ilikuwa safari ndefu na mmoja wetu alitakiwa ashinde poleni mashaiki wenzangu wa the three lions daima mbele.
Hawa jamaa nchi yao ikipitia majanga tuu ujue ndoo ya kwao. 2006 scandal ya match fixing watu wakachukua world cup.
Mwaka jana corona imewapurura 2021 wanabeba euro
 
20210712_020725.jpg
 
Kuweni serious bas Messi hastahili Ballon D'or watu wanatwaa hadi Kombe la dunia ila hawapati tuzo, yeye Copa america tu mmeanza mnadisha.....msisahau lewandowski anagoli 40+ msimu uliopita huu
Messi hawezi kuchukua hii balloon d'or kwa namna yoyote ile, hii ngoma atabeba Lewandowski.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua nimegundua kitu, ingawa tunasema kuwa mashabiki wa England wana midomo ila na wa Italy nao ni walewale tu.

Kwahiyo Jorginho anastahili ballon d'Or kwa kupata ile penalt nusu fainali au? maana kama ni uwezo uwanjani katika haya mashindano hawezi kumgeukia hata CHIESA tu au INSGNE.

Hebu kuweni wastaraabu bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Me ndo nashangaa mtu anasema eti anastaili kwa kipi kunyanyua makombe tu juu au.
 
Jorginho hastahili hii ballon d'Or, lakini amini usiamini hata Messi hata chukua hii tuzo mwaka huu regardless statistics inazotumia hapa.

Ni swala la muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mkuu bet yangu naweka kwa Messi tena natak niweke na hela kbs niBet..yan Messi anachukua ya 7 na wala sioni mpinzan hata kdg..ntakukumbusha mkuu mda ukifika.
 
Kuweni serious bas Messi hastahili Ballon D'or watu wanatwaa hadi Kombe la dunia ila hawapati tuzo, yeye Copa america tu mmeanza mnadisha.....msisahau lewandowski anagoli 40+ msimu uliopita huu
Kwnz declare interest ww ni shabik wa cr7 hlf niendelee nianze kukuleta stats ss kwnn Messi anachukua tuzo ya 7..tusibishane kama wanywa kahawa vijiweni wkt mpr ni mchezo wa wazi na kila mtu anaona.
 
Kwa lipi alilofanya? Bora hata wanaosema Jorginho kidooooogo wanashawishi!

ila Fifa watafanya viceversa mzigo kwa Messi
Ngj wakae hapo wajidanganye Messi iyo tuzo anachukua hata kabla ya misa ya kwnz..yan mapema kbs anaye bisha sawa..lkn kama kuna m2 anatk tufanye argument kwa stats au numbers aje tumlete Lewa tumlete Jorginho hlf tuweke na Messi hao si ndo contenders bas twende kaz tuArgue kwa facts sasa.
 
“Leonardo Bonucci and Giorgio Chiellini... they could go to Harvard University to give classes about how to be a central defender. They’re quality. When I say quality I don't just say creative players. Chiellini-Bonucci, it’s absolutely beautiful to see”. [emoji634]

José Mourinho - 2018
IMG_20210712_111315_047.jpg
 
Back
Top Bottom