Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Hakuna timu hapo ni barca b hiyo hambebi kombe.
 
Yupo Bundesliga katika timu ya Bayer 04 Leverkusen, kabla ya hapo alikuwa Serie A ambapo ndoto zake zilianzia kwenye Liga 1(ligi ya nyumbani kwao)

Ana miaka 25 sasa, bado ana nafasi kubwa ya kushine
Nilikuwa simfaham ngoja nianze kumfuatilia
 

Messi ni kilaza, hizo nyengine ni porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…