Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #861
Malayaaaaa😂😂😂Uswizi ana nafasi ya kuwa best loser, Uturuki kashakuwa Malaya watu wanajipigia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malayaaaaa😂😂😂Uswizi ana nafasi ya kuwa best loser, Uturuki kashakuwa Malaya watu wanajipigia tu.
29 matches unbeaten [emoji736][emoji634] na [emoji1237] ngapi huko?
Insigne mfupi sana
Wafungwa kizembe sana, hata huyu kipa wa Uswizi naona naye ni mwepesi, yale mashuti yalikuwa ya kawaida ila yamempitaMalayaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawana point, uwezekano wa kuaga ni mkubwa sana then tusafirisheItaly inakuwa timu ya kwanza kufuzu hatua inayofata[emoji91][emoji91][emoji91]
MnoooInsigne mfupi sana
Unajua shida ilianza Euro 2016 pale Uefa ilipoongeza idadi ya timu shiriki toka 16 mpaka 24 sasa matokeo yake hadi timu chovu zinafuzu na kutuletea uzembe wa hali ya juuWafungwa kizembe sana, hata huyu kipa wa Uswizi naona naye ni mwepesi, yale mashuti yalikuwa ya kawaida ila yamempita
Hata hivyo hizo 16 zilikuwa chache sanaUnajua shida ilianza Euro 2016 pale Uefa ilipoongeza idadi ya timu shiriki toka 16 mpaka 24 sasa matokeo yake hadi timu chovu zinafuzu na kutuletea uzembe wa hali ya juu
Aseeeeh ngoma inogile lol29 matches unbeaten [emoji736]
31 goals without reply [emoji736]
10 straight clean sheets [emoji736]
First team in the last 16 [emoji736]
Italy are going to take some beating at #EURO2020
#ITA View attachment 1821036
KDB akiingia second half mpira utabadilikaMmmh kwa huu mpira wa Belgium sioni wakitoboa hii mechi, wanashambuliwa sana.
Hivi yupo? Me nilifikiria labda ni majeruhi, huyu kocha anawezaje kumuacha mtu kama KDB nje?KDB akiingia second half mpira utabadilika