Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

[emoji634] na [emoji1237] ngapi huko?
29 matches unbeaten [emoji736]
31 goals without reply [emoji736]
10 straight clean sheets [emoji736]
First team in the last 16 [emoji736]

Italy are going to take some beating at #EURO2020

#ITA
IMG_20210617_000003_206.jpg
 
Wafungwa kizembe sana, hata huyu kipa wa Uswizi naona naye ni mwepesi, yale mashuti yalikuwa ya kawaida ila yamempita
Unajua shida ilianza Euro 2016 pale Uefa ilipoongeza idadi ya timu shiriki toka 16 mpaka 24 sasa matokeo yake hadi timu chovu zinafuzu na kutuletea uzembe wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom