Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hapo Wembley tunasubiri kwa hamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Italy huwapi nafasi?Ufaransa, Ureno ama Ubelgiji. Kati ya hizo timu moja itakuwa bigwa.
Natumaini itakuwa hivyo, kwa muda mrefu Italy ilikosa muingiliano wa damu mpya yenye vipaji hususani eneo la kiungo tokea waanze kuchoka pirlo na de rossi. Safu yao ya ushambuliaji pia ilikosa makali.
safu ya kingo ya Italy
Nicolo Barella - fundi anayekipiga Inter milan
Jorginho
Manuel Locatelli
Marco Verratti
Akina Immobile ni nani?😂Karata yangu ujerumani
Ilkay gundogan
Serge Gnabry
Gorzetka
Joshua kimmich
Leroy sane
Thomas Muller
Toni Kroos( mzoefu)
Kai havertz
2. Portugal
3.France
Hao kina Ciro immobile na jamaa yake insigne ni wazee wa kusua sua
Italy huwapi nafasi?
Akina Immobile ni nani?😂
Chielin atafia uwanjani,umri umemtupa mkonoItaly huwapi nafasi?
Hshahaha hawajui na hawafatiliiiHuyo ni kilaza, Immobile na Insigne kwake ni wakusuasua lakini Muller na havertz ndio wachezaji wa viwango vikubwa.
Ila ndio captainChielin atafia uwanjani,umri umemtupa mkono
Hiyo ndio changamotoKikosi cha Italia hakina wachezaji mashuhuri wa EPL, ni ngumu sana mashabiki wakibongo kukielewa mana wengi wao upeo wao umo ndani ya EPL tu
Haisaidii akikutana na striker wa hatari lazima aombe sub, nawapa France nafasi kubwaIla ndio captain
SquadKama kawaida hapo France baba lao anakila sababu ya kutwaa ndoo.
SquadNampa nafasi Portugal.
SquadNawaona italy piq safari hii wakifika mbali.
Sawa mkuuHaisaidii akikutana na striker wa hatari lazima aombe sub, nawapa France nafasi kubwa
SquadENGLAND
Hatimaye Arsenal Mungu amewaona....😅
Best loser italibeba kundi la kifo, hatimaye tutashuhudia maajabu huko kwenye mtoanoSema pia kuna best loser