Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Hatimaye Arsenal Mungu amewaona....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye Arsenal Mungu amewaona....
Best loser wanakuwaga hatari mbele ya safariBest loser italibeba kundi la kifo, hatimaye tutashuhudia maajabu huko kwenye mtoano
Kwa nini mkuu?Hatimaye Arsenal Mungu amewaona....[emoji28]
Chielin atafia uwanjani,umri umemtupa mkono
Hawajawahi kuwa serious haoChama la wana hili[emoji91][emoji91][emoji91]
Wafungaji bora Euro, nafasi ya nani hapo 2020?View attachment 1815484
Ngoja tusubiri, World Cup alifanya vizuriKane
Ngoja tusubiri, World Cup alifanya vizuri
Magoli ya kawaida, alishinda golden boot WC 2018alifanya vizuri kwa magoli ya penalties ?
Azam wanaonesha hili shindano au ni startime pekee?Leo ndio mtanange unaanza
o
Kuna uholanzi nao ni waafrica wenzetuWale waafrika wenzangu tunaowakilishwa na France tukutane hapa. Bila kubisha na bila kupepesa macho Ufaransa ataenda kuwa bingwa Tena was Euro.
#TeamFrance[emoji1086][emoji1086]
#TeamNgoloKante.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
#Singapore[emoji630][emoji630]
Azam baadhi ya mechiAzam wanaonesha hili shindano au ni startime pekee?
Kama unaona insigne anaweza kuifikisha Italy hata robo fainali wewe ndio utakuwa kilaza wa kutupwa.Huyo ni kilaza, Immobile na Insigne kwake ni wakusuasua lakini Muller na havertz ndio wachezaji wa viwango vikubwa.
OK ngoja niongeze king'amuziAzam baadhi ya mechi
Kama unaona insigne anaweza kuifikisha Italy hata robo fainali wewe ndio utakuwa kilaza wa kutupwa.
Hayo ni maoni yangu usipagawe
80% ya magoli yake yalikua ya penaltyMagoli ya kawaida, alishinda golden boot WC 2018
Dah, DSTV wangekua hawaonyeshi kwa hio channel mbona ningepata sababu ya kuangalizia nikiwa Bar!Salama wakuu,
Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa.
Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020.
Pia kutokana na Corona, timu zitaruhusiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Vilevile, michuano hii itaandaliwa katika nchi 11 tofauti na michuano ya kawaida ambapo nchi mwenyeji huwa ni mmoja tu. Wamefanya hivyo katika kuadhimisha miaka 60 ya michuano hiyo mikubwa barani ulaya kwa ngazi za timu za taifa.
Updates:
Michuano inaanza leo Juni 11 ambapo Turkey Vs Italy watafungua dimba saa 4:00 Usiku.
Michuano itaonyeshwa kupitia Dstv Chaneli 224 (Mechi zote), Star Times na Azam Tv kupitia ZBC2 (Baadhi ya Mechi).
Wale wadau wa kustream mtandaoni, Hesgoal.com ndio sehemu ya uhakika ya kucheki mechi.