Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo


Hapo wamekosekana Pelegrini na Sensi ambao ni majeruhi, wamechomolewa kwenye kikosi majuzi. Hawa watu wana viungo hatari sana
 
Karata yangu ujerumani
Ilkay gundogan
Serge Gnabry
Gorzetka
Joshua kimmich
Leroy sane
Thomas Muller
Toni Kroos( mzoefu)
Kai havertz

2. Portugal
3.France
Hao kina Ciro immobile na jamaa yake insigne ni wazee wa kusua sua
Akina Immobile ni nani?😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…