Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wakutane x10 atapigwa tu, hata ile siku ilikuwa wafe hata kwa goli 7Nadhani leo mmewaheshimu Portugal, kuna watu humu waliwadharau sana.
Hata ile mechi yao na Germany kilichowaangusha ni beki kukosa utulivu tu kipindi cha kwanza, vinginevyo ilikuwa ni 2-2.
Sasa michuano ndio imeanzaNext round fixture. Knockout stage. England bye byeView attachment 1828058
Duuh hapana aisee hujanishawishiKombe ni la Denmark.
England mwenyewe tia maji tia majiGermany hata kwa England hapiti. Italia hatopita kwa Belgium au Portugal.
Italy anaweza akafika fainali ila kwa Ujerumani sidhaniGerman Vs Italy wanakutana fainali??
Mbona Renato Alikuwa Epl ikamshinda? Umesahau kachezea Swansea?Renato Sanchez, na Danilo Pereira wanapaswa kucheza premier league. Hawa jamaa ni vitasa aisee. Kule Legi 1 wanapoteza muda
Sisi wa Coatria imekuwaje tukafuzu mkuu?ROUND OF 16
Sat
Wales v Denmark
Italy v Austria
Sun
Netherlands v Czech Republic
Belgium v Portugal
Mon
Croatia v Spain
France v Switzerland
Tues
England v Germany
Sweden v Ukraine
Mkuu Denmark tunaupiga mwingi balaa..Duuh hapana aisee hujanishawishi
Aisee kwamba Italy atatolewa na Ufaransa. Hapa nakataa kama Italy ataweza kumtoa Ureno basi basi anaweza pia akawatoa Ufaransa kwasababu kiwango cha Ufaransa na ureno vinashabihiana.Huu ndio mkeka wangu wa makuti ya Nazi.
Unafikiri kila mmoja hapa nimtendea hakiView attachment 1828567
Sasa kakua. Mwanzo alipopelekwa kwa mkopo toka bayern alikuwa dogo. Ila sasa ana uzoefu.Mbona Renato Alikuwa Epl ikamshinda? Umesahau kachezea Swansea?
Aisee kwamba Italy atatolewa na Ufaransa. Hapa nakataa kama Italy ataweza kumtoa Ureno basi basi anaweza pia akawatoa Ufaransa kwasababu kiwango cha Ufaransa na ureno vinashabihiana.
Germany pia wanaweza kuishia kwa Netherlands. Huo ni mtazamo wangu. Yote kwa yote tusubiri tuone mambo yatakuaje
Na siku Zote Italia nzuri ni ile yenye Defence imaraItalia hufanya vizuri pale usipotegemea. Hii ni kauli ya kocha mkongwe Ariggo Sacchi. Italia haieleweki eleweki. Ila ni ya moto. Haswa kwenye knockout game. Ndio timu ambayo haijaruhusu goli mpaka sasa. Hii maana yake ni kwqmba backline yake ni imara.
Watafika mbali. Hata kama hawatanyakuwa kombe
Naikumbuka ile ya Marcelo lippi (2006)Walikuwa wanawaacha tu muwashambulie lakini kuvunja ngome yao ni kazi moja nzito sana ila sasa halafu walikupigia counter attack ya maana. Wajerumani wanakufa goal mbili ndani ya extra time.Na siku Zote Italia nzuri ni ile yenye Defence imara
na Cannavaro beki akabeba uchezaji bora duniaNINaikumbuka ile ya Marcelo lippi (2006)Walikuwa wanawaacha tu muwashambulie lakini kuvunja ngome yao ni kazi moja nzito sana ila sasa halafu walikupigia counter attack ya maana. Wajerumani wanakufa goal mbili ndani ya extra time.
Sawa mkuuAisee kwamba Italy atatolewa na Ufaransa. Hapa nakataa kama Italy ataweza kumtoa Ureno basi basi anaweza pia akawatoa Ufaransa kwasababu kiwango cha Ufaransa na ureno vinashabihiana.
Germany pia wanaweza kuishia kwa Netherlands. Huo ni mtazamo wangu. Yote kwa yote tusubiri tuone mambo yatakuaje