Sijawai kuona mchezaji anaelalamika kuliko Lukaku . Jamaa mda wote analalamika tu ..asipopewa pasi analalamika.. akipewa akishindwa kucontrol analalamika kazi kunyoosha mikono tu
Hapana boss, mm ni chelsea na timu ya taifa niko Ubelgiji tangu kitambo, kuhusu Ubelgiji kushinda nimesema tangu mwanzoni mwa huu uziShida ni kwamba kila siku mna badili timu😂
World cup 2010, euro 2000 walikuwa waingie fainali bahati haikuwa yao nusu fainali dhidi ya Italy baada ya kukosa penati 2 ndani ya dakika 90.Sidhani, nimewahi kuwaona Czech fainali ya euro 96 dhidi ya Ujerumani.Holland mara ya mwisho kucheza fainali ilikuwa lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupa pole, Ubelgiji tumekazaTeam Portugal bado tuna matumaini
Walitolewa na Ugiriki nusu fainali euro 2004 kwa silver goal. Baada ya hapo walipoteana labda ndio wamerudi mwaka huu lakini hawana world class player yoyote.Pekua tena makabrasha yako kuhusu Czech
Sawa,lakini kusema hao czech ni underdog si sahihi.wana rekodi yao kwenye haya mashindano ya euro. Wazee wa mikeka tunajua hili na wale risk taker wamekula mpunga leo.World cup 2010, euro 2000 walikuwa waingie fainali bahati haikuwa yao nusu fainali dhidi ya Italy baada ya kukosa penati 2 ndani ya dakika 90.
Mkuu nilikuwa nawatetea Czech kwa waliokuwa wanawabeza. Czech wana historia kubwa na haya mashindano, zaidi hata ya mataifa kama England.Sawa,lakini kusema hao czech ni underdog si sahihi.wana rekodi yao kwenye haya mashindano ya euro. Wazee wa mikeka tunajua hili na wale risk taker wamekula mpunga leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes[emoji106]Mkuu nilikuwa nawatetea Czech kwa waliokuwa wanawabeza. Czech wana historia kubwa na haya mashindano, zaidi hata ya mataifa kama England.
Haiondoi kuwa wana historia nzuri katika sokaWalitolewa na Ugiriki nusu fainali euro 2004 kwa silver goal. Baada ya hapo walipoteana labda ndio wamerudi mwaka huu lakini hawana world class player yoyote.
Dogo amekuwa na ups and down nyingi sanaFelix haaminiki
Dogo amekuwa na ups and down nyingi sana