Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Sijawai kuona mchezaji anaelalamika kuliko Lukaku . Jamaa mda wote analalamika tu ..asipopewa pasi analalamika.. akipewa akishindwa kucontrol analalamika kazi kunyoosha mikono tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]