DStv channel 224Azam wanaonesha hili shindano au ni startime pekee?
Timu bora niweka hakiba ya maneno mkuu, robo fainali haipo mbali
Lolote kwanani sasa? Tuweke wazikarata yangu kwa france, ila lolote laweza tokea
SidhaniHivi jamani tunayoyaona hapa Stadio Olimpico kwenye viunga vya jijini Rome haviwezi kufanyika pale kwa Mkapa? 😁😁
SuperbOpening Ceremony was so beautiful!
Soma mwanzo kabisa wa threadWhy 2020 na huu ni mwaka 2021????