Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Kummmk kiungo wewe mbona nakupiga konzi moja tu unaogopa ku turn.
Sasa itaakua vita sio game tena, ball linatulizwa kifuan linachezwa mguuni, nikidokoa kwa kisigino nikimvesha mtu kanzu, nikikata funika funua kitu imooooooh. [emoji23][emoji23][emoji23]

Football niliipenda na ilinipenda vile tyuuh mitazamo hasi ya watu wangu wa karibu, bas nikaamua ku cancel.
 
Sasa itaakua vita sio game tena, ball linatulizwa kifuan linachezwa mguuni, nikidokoa kwa kisigino nikimvesha mtu kanzu, nikikata funika funua kitu imooooooh. [emoji23][emoji23][emoji23]

Football niliipenda na ilinipenda vile tyuuh mitazamo hasi ya watu wangu wa karibu, bas nikaamua ku cancel.
Mpira ni vita ndugu juzi nilikuwa naangalia mechi ya Yanga U20 Vs Jkt U20 kuna kiungo mmoja wa Jkt alitawala Dimba ilikumpoza alikuja kupigwa Konzi moja wakati anakabwa alitulia mbona
 
Line up
IMG_20210614_211350_852.jpg
 
Mpira ni vita ndugu juzi nilikuwa naangalia mechi ya Yanga U20 Vs Jkt U20 kuna kiungo mmoja wa Jkt alitawala Dimba ilikumpoza alikuja kupigwa Konzi moja wakati anakabwa alitulia mbona
Hilo kwenye mchezo inatokea na sio jambo la kushangaza, ila iwe km ajali tyuuh, na sio kupanga kabisa.
But sometimes huwa nawaza mengi San, ingekua bado nasakata kabumbu daaah, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom