Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kweli mkuu sijui kama ataweza kuibeba timuLewandowski timu ya taifa kazingukwa na wachezaji wa kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu sijui kama ataweza kuibeba timuLewandowski timu ya taifa kazingukwa na wachezaji wa kawaida
Kwa lile kombora hatari sana.Pole yake sana, zishukuriwe nyavu zimemdaka kipaView attachment 1818799
Sasa itaakua vita sio game tena, ball linatulizwa kifuan linachezwa mguuni, nikidokoa kwa kisigino nikimvesha mtu kanzu, nikikata funika funua kitu imooooooh. [emoji23][emoji23][emoji23]Kummmk kiungo wewe mbona nakupiga konzi moja tu unaogopa ku turn.
Poland nao ni sehemu ya kichwa cha mwendawazimu.FT' Poland 1-2 Slovakia
Na ndo huwa kina mcost Messi kuto twaa ndoo ya world cup.Lewandowski timu ya taifa kazingukwa na wachezaji wa kawaida
Mpira ni vita ndugu juzi nilikuwa naangalia mechi ya Yanga U20 Vs Jkt U20 kuna kiungo mmoja wa Jkt alitawala Dimba ilikumpoza alikuja kupigwa Konzi moja wakati anakabwa alitulia mbonaSasa itaakua vita sio game tena, ball linatulizwa kifuan linachezwa mguuni, nikidokoa kwa kisigino nikimvesha mtu kanzu, nikikata funika funua kitu imooooooh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Football niliipenda na ilinipenda vile tyuuh mitazamo hasi ya watu wangu wa karibu, bas nikaamua ku cancel.
Bongo tungesema misumari....Krychowiak, enzi anachipukia alitajwa kama mchezaji mwenye kipaji ambaye angekuja kutamba lakini kashindwa kuonyesha uwezo wake
Haya mashindano mi huwa nawapa magoli tu.Unampa nani?
[emoji23][emoji23][emoji23]wengine kina nani?Poland nao ni sehemu ya kichwa cha mwendawazimu.
Hii imenikosa sababu ya uogaFT' Poland 1-2 Slovakia
Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23]wengine kina nani?
Option nzuriHaya mashindano mi huwa nawapa magoli tu.
Spain na Swed nimewapa 2+
Argentina na Chile 2+
Odds 1.8
[emoji849][emoji848]Daaah wee acha zako bas, mie naupiga mwingi mno, nazungusha no 8 pale kati kiungo mshambuliaji.
Now nipo buzzy na Euro 2020, afu na bett sasa.
Hilo kwenye mchezo inatokea na sio jambo la kushangaza, ila iwe km ajali tyuuh, na sio kupanga kabisa.Mpira ni vita ndugu juzi nilikuwa naangalia mechi ya Yanga U20 Vs Jkt U20 kuna kiungo mmoja wa Jkt alitawala Dimba ilikumpoza alikuja kupigwa Konzi moja wakati anakabwa alitulia mbona
Wee vipi?[emoji849][emoji848]
Safi.Wee vipi?
Namba 8 unacheza?Hilo kwenye mchezo inatokea na sio jambo la kushangaza, ila iwe km ajali tyuuh, na sio kupanga kabisa.
But sometimes huwa nawaza mengi San, ingekua bado nasakata kabumbu daaah, [emoji23][emoji23][emoji23]