Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Salvatore Sirigu aliingizwa mnamo dk ya 89 wakati wa mechi yao dhidi ya Wales.

Mwaka 1990, Roberto Mancini(Kocha wa Italia wa sasa) alikuwa miongoni mwa wachezaji waliochaguliwa kucheza WC, Lakini yeye(Roberto Mancini) hakucheza hata sekunde moja (yaani hakupewa nafasi hata kidogo na kocha wao).

Ile hali ilimfadhaisha sana, sasa Roberto kama kocha hataki ile hali itokee kwa wachezaji wake, amejitahidi kubadili wachezaji ili kila mmoja acheze hata kwa sekunde moja.

Hadi sasa kashatumia wachezaji 25 kati ya 26 walioruhusiwa kuunda kikosi kinachoshiriki Euro. [emoji122]
IMG_20210622_195447_046.jpg
IMG_20210622_195450_328.jpg
 
[emoji460] Top scorers at #EURO2020 :

[emoji2389] 𝗣𝗮𝘁𝗿𝗶𝗸 𝗦𝗰𝗵𝗶𝗰𝗸 [emoji1086] - 𝟯 (𝟭𝟲𝟮 𝗺𝗶𝗻𝘀)
[emoji2390] Cristiano Ronaldo [emoji1201] - 3 (180 mins)
[emoji2391] Romelu Lukaku [emoji1045] - 3 (264 mins)
[emoji2392] Gini Wijnaldum [emoji1179] - 3 in (274 mins)

#EURO2020
IMG_20210622_201026_586.jpg
 
35y 286d - Luka Modric is now both the youngest (22y 273d, v Austria in 2008) and the oldest (35y 286d today v Scotland) Croatian goalscorer in the Euros. Evergreen. #EURO2020 #CRO
 
Calculation zimeprove kuwa kafuzu, ila mechi iliyobaki ndio itaamua nafasi atakayoanguaki(ama mshindi wa kundi, mshindi wa pili au best loser). Kwa hiyo lazima aangukie kwenye hizo nafasi
Oho, hapo sawa mzee baba nimekuelewa.
 
group F karata iko kwa yoyote , [emoji1126] , [emoji632], [emoji629], [emoji1201]
 
Back
Top Bottom