Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #2,001
Kutoka Opta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatoa goal threat kama Griezmann anaweka kiungo mkabaji Sissoko na kuwapa Switz morali ya kwenda mbele kutafuta goliWhy kocha alimtoa Griezman badala ya Mbappe??
Hili nalo kosa la kocha..
Mbappe leo hakuwepo kabisa
Kocha alikuwa amekaririFrance hawakuwa na sub ya Mbappe?Leo alitakiwa kutoka mapema sana..
Kocha kakosea kufanya sub kama keshashinda.. Griezman asingetoka..
Mkuu naomba ile clip baada ya mbappe kukosa penalty kipa wa swiz akawa anashangaa shangaa akidhani penalty zinaendelea ikabidi wenzake wamshtue.."oya tumeshinda f*ra ww"
Mbappe namuona kama mwanariadha zaidi, hana ufundi sanaFrance Benzem ameonesha maturity kubwa sana na amewasaidia sana hadi hapa, hakosi kizembe, ile movement ya goli la 1 alivyodundisha mpira miguu ikiwa kwenye rabona style inatuonesha uwezo wake..... Wenyewe wanasema mvinyo unavyozidi kulala ndio unavoongezeka ubora.....
Pogba what a player aiseh, japo kutokukaba kumecost timu goli la 3 kwani mpira amenyang'anywa yeye, ila passing zile zaidi ya 4 kwenda kwa mbappe akiwa eneo zuri akashondwa kutumia.....Top bin yake ni moja ya magoli matamu sana.....anastahili kuuzwa paun mil 80 na zaidi.....
Mbappe awe serious hayupo hata nusu ya Neymar yule wa barcelona, anakazi ndefu sana nje ya mbio sio mzuri anakosa one to one nyingi, hata game na portugal alikosa goli la wazi na Rui patricio.....eti ndio timu itoe paund mil 200 hahahaha
Hiyo ni game imemukataa tu leo. Dogo ameshaonyesha uwezo anao, bila yeye hawa hawa France sizani kama wangebeba kombe la dunia 2018.Za matako labda, huyo dogo anakuzwa tu. Kimsingi haifiki hata kwa Cavan tu, achana na akina Ronaldo na Messi.
Its coming home!!England wanaweza kushinda hili kombe…
Hapana, dogo hana consistencyHiyo ni game imemukataa tu leo. Dogo ameshaonyesha uwezo anao, bila yeye hawa hawa France sizani kama wangebeba kombe la dunia 2018.
Sio lazima ucomment.Lipuli ya Iringa.
Mm ningekua kocha nisingempa penalty. Maana kakosa magoal kibao, penalty ndo angepata?
Austria mkuu, Australia wapo bara lingineJamaa wanasakata kabumbu balaa sema nao Australia wako vzr kama ulivosema underdogs wanahamgaisha magiants.
Infact mpira wa ulaya wa sasa levwl nyingne, hakuna timu ndogo.
Wamekwenda na majiKama kawaida hapo France baba lao anakila sababu ya kutwaa ndoo.
It could very well….but England is known to choke when stakes are high.Its coming home!!
Hahahah pole sanaPortugal na france
👆🏼👆🏼👆🏼👆🏼👆🏼Kwanini watu wamewa-underrate Germany?