Leo nimeamini kwamba ni kweli- neno consistency hali exist kabisa kwenye ulimwengu wa soccer. Jinsi ambavyo Warusi walikuwa destroyed na Spain, na jinsi ambavyo Sweden waliwatoa kamasi Spain, leo kulikuwa na mshindi mmoja tu kwenye game ya Russiav Sweden lakini mmmhhhh......Sorry Russia fans if at all mpo, I got it wrong- understandably why I hope.