***Euro2008***

Natamani sana kuona France ikichapwa na Holland ili game yao na Italy iwe ya kufa mtu, itakuwa ni winner gets all! Waromania nadhani wakijitahidi sana wanaweza kuambulia draw against Netherland, I cant see them winning.
 
Kipute ndio hicho france na Ned....aisee makelele mfupi maana kamera kufika kwake ikaenda chini......
 
duh mbona mwanzoni tu watoto wa Platini wanakula bao....Dirk kuyt
Ned 1 France 0..dak 11 first half
 
France kukosekana kwa Viera na Zidane pale katika kati kuna pengo kubwa naona watoto wanawakimbiza sana kati...
 
Natamani sana kuona France ikichapwa na Holland ili game yao na Italy iwe ya kufa mtu, itakuwa ni winner gets all! Waromania nadhani wakijitahidi sana wanaweza kuambulia draw against Netherland, I cant see them winning.

kana ukumbuke wadachi wakiwachapa hawa wafaransa watakua na point sita mabazo ni assurance wamequalify na pia ni point ambazo haziwezi fikiwa na timu yeyote in dis grp so mechi ya mwisho na romania they wont have to put pressure ambayo yaweza lead to players wao kuwa suspended au injured,hence romania wakatake advantage nakuwin in which wud b bye bye to hivo vizee without even kutry sikilizia matokeo yao cz romania wud b havin point 5 in which si italy wala france wataweza fikia na uzee wao!
 

Ndiyo maana linaitwa kundi la kifo
 
Ribery is trying..Malouda na Henry inabidi waamke...wachapwe viboko...
 
wadachi wamezidiwa...goooool ni arsenal man huyu....
 
WAchezaji wa arsenal hatari sana Euro 08
 
Waholanzi si mchezo!kweli hii EURO 2008 watu wamajiandaa bwana si mchezo!
 
hUYU Sneijder lazima aje Arsenal.Full time Ned 4 France 1.....babu Thuram staafu mzee
 
Hawa jamaa wanahasira za kukosa kombe la dunia. Kuifunga Italy 3 na Ufaransa 4, nani atapona hapa? Bravo Netherlands.
 
Hupo na Les Bleus ama umekuwa Oranje? Maana naona sasa hivi ni kichapo tuu....
Nipo na les bleus ndugu yangu!du yaani hapa mpaka kieleweke!bado tuna matumaini hatujafungasha bado mavalise!maana les bleus wakimbamiza Azzuri na romania akabamizwa na wadutch!Les bleus tutasonga mbele!
Hivyo bado tuna matumaini!
ALLEZ LES BLEUS!
 
Credit to Romania, sio kwamba Azzuri walicheza vibaya..la hasha ila Romania wali-defend vizuri, jamaa watalam wa kuosha balaa, ule ukuta wao kama ule wa Italia 2000!!, jamaa wana Team work afu wataalamu wa set pieces na counter attacks!!, credit to them plz!!

Wafaransa wameniangusha, kwa staili hii nahisi yeye na mwenzake Azzuri licha ya kwamba watatoana ngeu next game sioni wa kupita hapo, coz Holland he will relax a little bit game yao ya mwisho na Romania na Romania lazima akaze kweli kweli!

Bwana Pepsi Henry sijui wat he was doing mle ndani mi nkadhani Dominech atamtia ndani Benzema wapii, kaingia mngoni Anelka!!,,sijui kama Dominech atapona after Euro08 hii!!
 
Nafikiri FRANCE wanahitaji kujenga timu upya kwani walijisahau baada ya akina PETIT,ZIDANE,BLANC,THURAM,BARTHEZ na wengine walivyobeba WORLD CUP& EURO wakajisahau yaani wachezaji ambao naona wamebaki ni RIBERY na EVRA
MALODA,ANELKA,COUPET,GALAS,THURAM,TOULAN,VIEIRA,GOVOU wote hamna kitu then nafikiri kocha alitakiwa kumuingiza BENZEMA
 
Hongera kwa ORANJE kwani naona MARCO VAN BASTEN amefanya wawe wanacheza mchezo wa TACTICS
Wadachi siku zote wanamiliki mpira na wanacheza mpira wa kasi lakini jamaa kawabadilisha baada ya kuona wanacheza vizuri lakini hwafanikiwi
Sasa hawachezi mpira wa kasi na wala hawamiliki kama zamani ila wanacheza COUNTER ATTACK hatari ambazo lazima wakufunge.Game ya ITALYwalicheza vibaya ila wakacheza counter na kutoa dozi nzito.
Jana ilikuwa hivyo nafikiri mliona magoli ya ROBEN & RVP,wakiendelea na mchezo huu watabeba kombe
Congrats to their Midfielder De Vart,Roben,Schneider,RVP,De Jong
 
Bwawa la main!Torres anawainua waspain!
Spain?Poltugal?Holland?France?=bingwa euro 2008
 
Hivi Iniesta anampiga benchi Fabregas?......Ibra kachomoa 1-1 Esp na Swe
 
naona david villa kawachomolea tena wa ispaniola na kuwapa ushindi hivyo asilimia kubwa wanasonga mbelea to next round!!dah so bad that sweden wameshindwa kubana mpaka mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…