Eurocentric & Deterrent Criminal Court: Kama Burundi walijitoa, mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na uwepo wa Mahakama inayolenga viongozi wa Afrika?

Kwenye kuadhimisha miaka 75 ya UN kuna tweet nimesoma ambapo nchi mbalimbali 72 zimeunga mkono juhudi na kazi za ICC nimesoma hiyo orodha ya hizo nchi sikuona Tanzania....
Sawa mkuu
 
SISI WENYEWE HATUWEZI kujiongoza kwa kuheshimu taratibu zetu wenyewe.. Angalia al Bashir aliua watu wengi sana kisa tu wana mawazo tofauti...Leo hii anasota jela lakini kwa msaada wa jeshi ila raia wa akwaida hawa angeua vibaya sana.
Mhhh...
 
Doooh...
 
Hii hatari sana mkuu...
 
Asante kwa mchango wako mkuu
 
Safi sana mkuu
 
Ngoja wataalam waje. Kwanini Burundi walijitoa huko ICC?
 
Mkuu naona kuwa si sahihi kutumia na nchi zembe kama Burundi na Rwanda.
 
Ukiwa muhalifu lazima utetemeke na kuigopa mahakama.

Wahalifu mmeanza kubabaika na kumangamanga!

Ohh ati ICC imetusaidia nini!! Ulitaka ikuletee chakula mezani??!

ICC is the court of law responsible to TRY criminals and pose a deterrent effect to any potential future criminal conducts.

Mnakimbia kimbia hovyo!! Tulia hapo muwajibishwe kama mnastahili.
 
Mkuu naona kuwa si sahihi kutumia na nchi zembe kama Burundi na Rwanda.
Huyu jamaa ni haijui mahakama vizuri, Bali propaganda ndio anasikiliza eti ipo kuwaonea viongozi wa Africa
Mbona kuna viongozi kutoka vita ya Bosnia na Serbia (Europe) wamehukumiwa wengi tu? Mbona Kuna cases za Myanmar kuuwa was Rhohingya zinachunguzwa? Mbona

Sikiliza propaganda za na dikteta ambao wanatumia kigezo cha Waafrica vs Wazungu kila Mara dunia inapojaribu kuwaambia waache unyama dhidi ya wananchi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…