Eurocentric & Deterrent Criminal Court: Kama Burundi walijitoa, mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na uwepo wa Mahakama inayolenga viongozi wa Afrika?

Eurocentric & Deterrent Criminal Court: Kama Burundi walijitoa, mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na uwepo wa Mahakama inayolenga viongozi wa Afrika?

Ukiona mwananchi wa kawaida akipinga mahakama hii basi ni uendawazimu unamsumbua! Hii mahakama inapingwa TU na watawala wasiofuata katiba, 'wanahujumu' maisha ya wengine, wasio watenda haki,
 
We are enemies to each other kiitikadi

Mbona watu huo mnapenda kukwepa neno "maadui"?

Mlishaogopeshwa na dini zenu....hakuna kitu cha ajabu watu kua maadui au kuchukiana,ndio safi,dunia haiwezi kua all love ni us3ng3...

Uadui ndio sawa...love peaneni kwenye majumba yenu na familia zenu
Sisi wengine hapa JF ndio majumbani kwetu na tupo na familia zetu humu humu. Au sio mama watoto wangu Bushmamy
 
Mimi hua n@t0mba offline.....

JF mimi nathamini privacy na anonymity yangu more than anything....

JF mimi ni online chacter Wyatt Mathewson,sitakaa nijuane na any human being katika personal level,NEVER!
Hutakaa kujuana na watu katika personal level kwa maana unajua unayoyafanya humu. Badilka mkuu ili nafsi yako iwe huru kama mimi...
 
Nibadilike niwe edited version of myself?

I need me,the original version,motherfvckers cant handle....

Siwezi kuji-edit ili niweze kujuana na watu,for what my nigga?

Nipo hapa anonymous,doing me,the original me....fvck everybody else!

Online friendship,that stuff I can pass!

Thank you very much!
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom