Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Jinsi wanavyoendelea kupambana na Israeli ndivyo wanavyoendelea kupukutika. Kama enzi zile za mfalme Ahasuero kwenye Biblia kitabu cha Ester. Haman alipotaka kuuwa wayahudi, akaishia kunyongwe yeye. Mfalme Ahasuero alikuwa ni wa Persia ambaye leo ndio Iran🤔. Soma Biblia kitabu cha Esta Sura ya 3
Kasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)

Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.

Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
 
Huu uzwazwa hamuuachi!?
Mbona Hizbollah kila siku wanaua huko Israel Kaskazini mbona hatuoni wakipukutika!?
Aiseeee!Ukiendekeza udini lazima uwe popoma.
Huoni sababu umefumba macho usione 🤔
 
Taarifa za ndani zinaleta uvumi kuwa huwenda "Ayatollah" kahusika.
Ila sio Iran.
Khomenei na Ebrahim hawakuwa vizuri
Tupe ushahidi mkuu.Taarifa zote zinasema kwamba walikuwa wanaiva sana.Na hata kama walikuwa hawaivii,angesubiri tu amuondoe kwenye presidential candidates,mbona yeye ndiye anaye-nominate.Wewe unacho jaribu kufanya hapa ni kuficha uovu wa Israel na Marekani,hamna kingine.
 
Tupe ushahidi mkuu.Taarifa zote zinasema kwamba walikuwa wanaiva sana.Na hata kama walikuwa hawaivii,angesubiri tu amuondoe kwenye presidential candidates,mbona yeye ndiye anaye-nominate.Wewe unacho karibu kufanya hapa ni kujaribu kuficha uovu wa Israel na Marekani,hamna kingine.
🙄🙄🙄🙄Bro uko serious!?
Subiri nilete hiyo rumours uisome.
 
A great operation leaves no traces hata ile ya kuweka conspiracy kuwa inawezekana labda hio ndio ila hii ambao hadi sisi wa kwa mtogole tunasifu kuwa ni hivyo basi hamna kitu hapo
Ndio maana wanajiita taifa teule la Mungu.
 
Sisi wapalestine na waarabu wa Tandale tunalaani sana hili jambo. Tutalipiza so soon
 
Jinsi wanavyoendelea kupambana na Israeli ndivyo wanavyoendelea kupukutika. Kama enzi zile za mfalme Ahasuero kwenye Biblia kitabu cha Ester. Haman alipotaka kuuwa wayahudi, akaishia kunyongwe yeye. Mfalme Ahasuero alikuwa ni wa Persia ambaye leo ndio Iran[emoji848]. Soma Biblia kitabu cha Esta Sura ya 3
Hitra mbona aliwanyonga balaa
 
Kwenye hii vita walikufa Waisraeli 165 na Walebanon 1,300.Watu gani walikufa zaidi? 🤔
Unajua nani alienda kuomba ceasefire? Kasome report ya vita hii ipo american army forces library kila kitu kipo wazi watakwambia nani alidunda hadi akaenda kuomba ceasefire UN
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Wataalam wa vita vya kwenye keyboard huwa mnajua kukichafua sana kuliko hao walio ground. Sijui wao huwa wanafeli wapi hadi washindwe kukinukisha kama ninyi!
 
Taarifa za ndani zinaleta uvumi kuwa huwenda "Ayatollah" kahusika.
Ila sio Iran.
Khomenei na Ebrahim hawakuwa vizuri
Ila hii haiwezekani kwa Raisi alikuwa amebakisha miezi tu mwakani ni uchaguzi ayatollah anaweza kutumia ila assembly of experts yenye watu 89 kumkata asigombeee tena uraisi bila kufanya hivi ,labda kama kuna uhafidhina na pia kwa nchi ya kiislamu kama iran mambo ya kufanyiana assasination wao kwa wao hawana hayo wale ni waadilifu kwa misingi ya dinj yao na ndio maana despite vikwazo taifa na hali ya maisha ya watu ni nzuri uadilifu wa misingi ya dini ndio umeweza kuwafikisha mbali hapo walipk la sivyo kwa vita na fitina za nchi za magharibi basi wangekuwa wamekumbwa na fate kama ya Gaddafi na Saddam kimsingi religion ndio protection ya taifa lao strategically hata ukiwapeleka vizuri vyote vya umagharibi hawawezi kuasi dni yao wakavifuata na ndio hapo regime imeshikilia misingi hio imeweza na kuendelea kuongoza .
 
Back
Top Bottom